Nimewashangaa sana Lissu na Heche baada ya kusikiliza mjadala wa Royal Tour kwenye Club House ya Maria Sarungi

Nimewashangaa sana Lissu na Heche baada ya kusikiliza mjadala wa Royal Tour kwenye Club House ya Maria Sarungi

Nduka Original

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
1,012
Reaction score
817
Nina rafiki msomi na yuko Chadema kufa na kupona, amekuwa sana akiniambia kuhusu Club house inayoendeshwa na Maria Sarungi. Leo nikaamuwa nami nisikilize mjadala wa Royal Tour ambapo Mary Sarungi alikuwa akiwahoji Tundu Lisu na John Heche. Kwakweli baada ya kusikiliza mjadala na kusikiliza hoja zao kuhusu kupinga Royal Tour nimewadharau sana Lisu, Heche na Maria Sarungi mwenyewe.

I won't go into details ila nitataja hoja moja moja tu za Lisu na Heche ambazo kwanza nashangaa wanakuwaje viongozi wakubwa hivyo ndani ya chama kikubwa.

1. Lisu anasema SSH kaenda US kutangaza utalii wakati wakiti watalii wakija ni wageni wa private serious?????? Kweli huyu ilikuwa anaomba Urais mtu asiyejuwa kazi ya kutangaza attractions za nchi niza Serikali??? Private sector kazi yake ni grasp opportunities baada ya Nchi kujulikana. Sababu kubwa yakuwa na namba ndogo ua utalalii hapa nchini ni kwamba only deals with tradion markets instead of opening other avenues hivyo nchi haijulikani.

2. Heche nae anasema gharama zilizotumika kutengeneza Royal tour wangepewa vijana wakanunue ng'ombe wa maziwa wafuge kuliko kutengeza Royal tour??? Serious? Halafu huyu jamaa ni mwalimu alikuwa anafundisha sekondari anajaribu ku compare kutangaza utalii wa nchi na kuwapa vijana hela wakafuge. Sikatai vijana wetu kukopeshwa ila kama Nchi inaweza ikakopesha vijana wetu hela za Ngo'mbe na Royal Tour pia ikafanyia.

3. Maria mimi simjui ila kulingana na watu wanavyo muongelea sina shaka kwamba ni msomi na ana expousure. Kilichonishangaza ni alivyokuwa yuko impressed na bizzare analysis inayofanywa na viongozi wajuu wa Chadema.

Kumalizia. Lisu na Heche niliokuwa na wajuwa kujenga pale Bungeni siyo nyie. Inawezekana kuwa out of active politics na brains zenu zimekuwa drained au ni frustration na serious Maria comments za watu wazito kama hawa nizakutoa on air ili kulinda heshima ya platform.
 
Hawa viongozi kama kina Tundu Lissu na John Heche wanapaswa pia kuwa na Principles fulani za kusimamia!
Huwezi kuwa kila wakati unaongea ongea tu!
Hakuna mtu anayejua kila kitu na huwezi kuhojiwa na kila mtu!
Naona hizi Space na Club house zimeshusha sana credibility za hawa watu na kuwafanya irrelevant kabisa!
Nilicheka sana kwenye mjadala wa uhifadhi na uhamishaji wa Wamasai kutoka Ngorongora kulinda uhifadhi.
Mchungaji Msigwa akawa anatema madini huku Tundu Lissu ameng'ang'ania Wamasai waachwe ila wakati wa mvua wawe wanahamia milimani! Akatema pumba siyo za Nchi hii!
 
Nina rafiki msomi na yuko Chadema kufa na kupona, amekuwa sana akiniambia kuhusu Club house inayoendeshwa na Maria Sarungi.
Achana nao wameshakua wanasiasa wa hovyo hovyo.

Haiwezekani mama anafanya Yale waliyoyapigania Kwa miaka mingi halafu wanapinga TU bila hata aibu.

Kuna mjinga Mwingine nimemsikia akisema eti Filam ya Royal tours haitainufaisha Tanzania Kwa sababu hati miliki ni ya Mtu binafsi.
WAKATI huo huo anasema huyo aliyitengeneza Kwa Nini aitengeneze Kwa gaharama zake atanufaikaje? Yaani mambo ya kipumbavu kabisa .

Yaani mtu anakutangazia nchi Kwa gaharama zake Kwa sababu TU yeye anataka anufaike na filam na wewe iwe ni matangazo halafu unalalamuka kwani angeacha tungenufaika nini? Mbona waafrika tupo hapa miaka mingi lakini hatukuwaza kutengeneza filam kama hiyo. Dunia ni Kijiji MTU yeyote akishirikiana nasi Kwa ajili ya maendeleo sio kuvuruga amani basi ni ndugu yetu kama Bongo zozo.

Lisu ameanza kuwa Mwanasiasa wa hovyohovyo.
Msigwa ameonyesha wazi kuwa anafaa kuwa Waziri wa utalii.

Mama Samia anapaswa kumteua Msigwa kuwa Mbunge na Kisha amteue kuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii.

Mama Samia Kwa kiasi Fulani ni Mpenda Demokrasia Kwa hiyo ni Wehu TU ,Machozi, Wanasiasa wa hovyohovyo , mafala , malofa na wapumbavu wasio na shukrani , wanasiasa wasio na dira watampinga na kumukana kama vile walivyokua wanapinga Marais waliomtangilia kutoka bara ambao Kwa hulka zao TU ni watu katili na wabinafsi na walafi.

Mama Samia ni Tofauti sana na Watawala waliolivuruga hili Taifa Kwa kujilimbikizia Mali na marafiki zao ambao wengi wao ni wale waliosoma pamoja kwenye baadhi ya vyuo ambavyo vingi vimekua chanzo Cha kuasisi Mafisadi na wanasiasa Wabinafsi wanaolitafuna Taifa hili bila huruma.
 
Nina rafiki msomi na yuko Chadema kufa na kupona, amekuwa sana akiniambia kuhusu Club house inayoendeshwa na Maria Sarungi...
Hawa akili zao na mawazo yao watanzania bado vilaza so wanamini propaganda zao zitaibua hisia za watanzania na kuwaunga mkono kwa hoja zao za kitoto kama zamani

Uzuri sasa hivi asilimia kubwa ya watanzania si wakudandia hoja Wana reason out kwanza so unasema Nini na kwa maslahi gani kwaiyo propaganda zao za kipuuzi Sasa hivi zimekuwa hazina mashiko na uzuri wamekosa mtu mwenye ushawishi wakutulisha matango pori tukayaelewa kama enzi za shemasi kigogo ndio maana Sasa hivi hawaeleweki wanataka Nini wapo kudandia na kubuni buni hoja

Mara TUCTA sijui Nini Mara royal tour imewadharirisha wamasai yani ujinga ujinga tu nachoshukuru watz wanawapa makavu live hawataki hoja za kijinga jinga
 
Wamekuwa watu wa hovyo, maria ambaye mama yake ni wakala wa CIA ndiye moderator, lakini anashadadia hoja za akina Lissu kuonyesha tayari ana upande anaoegemea
 
Hawa viongozi kama kina Tundu Lissu na John Heche wanapaswa pia kuwa na Principles fulani za kusimamia!
Huwezi kuwa kila wakati unaongea ongea tu!
Hakuna mtu anayejua kila kitu na huwezi kuhojiwa na kila mtu!
Naona hizi Space na Club house zimeshusha sana credibility za hawa watu na kuwafanya irrelevant kabisa!
Nilicheka sana kwenye mjadala wa uhifadhi na uhamishaji wa Wamasai kutoka Ngorongora kulinda uhifadhi.
Mchungaji Msigwa akawa anatema madini huku Tundu Lissu ameng'ang'ania Wamasai waachwe ila wakati wa mvua wawe wanahamia milimani! Akatema pumba siyo za Nchi hii!
Halafu kiongozi kuongea Kila siku unapoteza thamani, ila nasikia maria huwa anaomba fedha kwa mabeberu, wale wachangiaji kama akina Lissu na Heche na viongozi wa CHADEMA hulamba milioni mbili kwa siku, ndio maana hawakosi
 
Nina rafiki msomi na yuko Chadema kufa na kupona, amekuwa sana akiniambia kuhusu Club house inayoendeshwa na Maria Sarungi. Leo nikaamuwa nami nisikilize mjadala wa Royal Tour ambapo Mary Sarungi alikuwa akiwahoji Tundu Lisu na John Heche. Kwakweli baada ya kusikiliza mjadala na kusikiliza hoja zao kuhusu kupinga Royal Tour nimewadharau sana Lisu, Heche na Maria Sarungi mwenyewe.

I won't go into details ila nitataja hoja moja moja tu za Lisu na Heche ambazo kwanza nashangaa wanakuwaje viongozi wakubwa hivyo ndani ya chama kikubwa.

1. Lisu anasema SSH kaenda US kutangaza utalii wakati wakiti watalii wakija ni wageni wa private serious?????? Kweli huyu ilikuwa anaomba Urais mtu asiyejuwa kazi ya kutangaza attractions za nchi niza Serikali??? Private sector kazi yake ni grasp opportunities baada ya Nchi kujulikana. Sababu kubwa yakuwa na namba ndogo ua utalalii hapa nchini ni kwamba only deals with tradion markets instead of opening other avenues hivyo nchi haijulikani.

2. Heche nae anasema gharama zilizotumika kutengeneza Royal tour wangepewa vijana wakanunue ng'ombe wa maziwa wafuge kuliko kutengeza Royal tour??? Serious? Halafu huyu jamaa ni mwalimu alikuwa anafundisha sekondari anajaribu ku compare kutangaza utalii wa nchi na kuwapa vijana hela wakafuge. Sikatai vijana wetu kukopeshwa ila kama Nchi inaweza ikakopesha vijana wetu hela za Ngo'mbe na Royal Tour pia ikafanyia.

3. Maria mimi simjui ila kulingana na watu wanavyo muongelea sina shaka kwamba ni msomi na ana expousure. Kilichonishangaza ni alivyokuwa yuko impressed na bizzare analysis inayofanywa na viongozi wajuu wa Chadema.

Kumalizia. Lisu na Heche niliokuwa na wajuwa kujenga pale Bungeni siyo nyie. Inawezekana kuwa out of active politics na brains zenu zimekuwa drained au ni frustration na serious Maria comments za watu wazito kama hawa nizakutoa on air ili kulinda heshima ya platform.
Mi nawashangaa ccm kuanzia mwenyekiti wako na wanachama eti hawataki katiba mpya, yaani kweli hawaoni umuhimu wakati a mpya KWA sasa?

Royo tua ni sanaa za upigajii tu hanna kitu pale
 
Hawa viongozi kama kina Tundu Lissu na John Heche wanapaswa pia kuwa na Principles fulani za kusimamia!
Huwezi kuwa kila wakati unaongea ongea tu!
Hakuna mtu anayejua kila kitu na huwezi kuhojiwa na kila mtu!
Naona hizi Space na Club house zimeshusha sana credibility za hawa watu na kuwafanya irrelevant kabisa!
Nilicheka sana kwenye mjadala wa uhifadhi na uhamishaji wa Wamasai kutoka Ngorongora kulinda uhifadhi.
Mchungaji Msigwa akawa anatema madini huku Tundu Lissu ameng'ang'ania Wamasai waachwe ila wakati wa mvua wawe wanahamia milimani! Akatema pumba siyo za Nchi hii!
Hata sisi wazalendo huwa tunawashangaa ccm wanavyopinga katiba mpya KWA hiyo hakuna jipya
 
Nina rafiki msomi na yuko Chadema kufa na kupona, amekuwa sana akiniambia kuhusu Club house inayoendeshwa na Maria Sarungi. Leo nikaamuwa nami nisikilize mjadala wa Royal Tour ambapo Mary Sarungi alikuwa akiwahoji Tundu Lisu na John Heche. Kwakweli baada ya kusikiliza mjadala na kusikiliza hoja zao kuhusu kupinga Royal Tour nimewadharau sana Lisu, Heche na Maria Sarungi mwenyewe.

I won't go into details ila nitataja hoja moja moja tu za Lisu na Heche ambazo kwanza nashangaa wanakuwaje viongozi wakubwa hivyo ndani ya chama kikubwa.

1. Lisu anasema SSH kaenda US kutangaza utalii wakati wakiti watalii wakija ni wageni wa private serious?????? Kweli huyu ilikuwa anaomba Urais mtu asiyejuwa kazi ya kutangaza attractions za nchi niza Serikali??? Private sector kazi yake ni grasp opportunities baada ya Nchi kujulikana. Sababu kubwa yakuwa na namba ndogo ua utalalii hapa nchini ni kwamba only deals with tradion markets instead of opening other avenues hivyo nchi haijulikani.

2. Heche nae anasema gharama zilizotumika kutengeneza Royal tour wangepewa vijana wakanunue ng'ombe wa maziwa wafuge kuliko kutengeza Royal tour??? Serious? Halafu huyu jamaa ni mwalimu alikuwa anafundisha sekondari anajaribu ku compare kutangaza utalii wa nchi na kuwapa vijana hela wakafuge. Sikatai vijana wetu kukopeshwa ila kama Nchi inaweza ikakopesha vijana wetu hela za Ngo'mbe na Royal Tour pia ikafanyia.

3. Maria mimi simjui ila kulingana na watu wanavyo muongelea sina shaka kwamba ni msomi na ana expousure. Kilichonishangaza ni alivyokuwa yuko impressed na bizzare analysis inayofanywa na viongozi wajuu wa Chadema.

Kumalizia. Lisu na Heche niliokuwa na wajuwa kujenga pale Bungeni siyo nyie. Inawezekana kuwa out of active politics na brains zenu zimekuwa drained au ni frustration na serious Maria comments za watu wazito kama hawa nizakutoa on air ili kulinda heshima ya platform.
Mawazo yao yatabakia kuwa mawazo yao,hata kama ukawaponda,Kwa chuki au kwakutaka kubomoa upande Moja na kujenga upande wa pili ,mawazo Yako hayatakuwa yao na yao hayawezi kuwa Yako.
 
Halafu kiongozi kuongea Kila siku unapoteza thamani, ila nasikia maria huwa anaomba fedha kwa mabeberu, wale wachangiaji kama akina Lissu na Heche na viongozi wa CHADEMA hulamba milioni mbili kwa siku, ndio maana hawakosi
Kwani wewe huzitaki hizo m2,jiunge nawewe ukazichukue.
 
Achana nao wameshakua wanasiasa wa hovyo hovyo.

Haiwezekani mama anafanya Yale waliyoyapigania Kwa miaka mingi halafu wanapinga TU bila hata aibu.

Kuna mjinga Mwingine nimemsikia akisema eti Filam ya Royal tours haitainufaisha Tanzania Kwa sababu hati miliki ni ya Mtu binafsi.
WAKATI huo huo anasema huyo aliyitengeneza Kwa Nini aitengeneze Kwa gaharama zake atanufaikaje? Yaani mambo ya kipumbavu kabisa .

Yaani mtu anakutangazia nchi Kwa gaharama zake Kwa sababu TU yeye anataka anufaike na filam na wewe iwe ni matangazo halafu unalalamuka kwani angeacha tungenufaika nini? Mbona waafrika tupo hapa miaka mingi lakini hatukuwaza kutengeneza filam kama hiyo. Dunia ni Kijiji MTU yeyote akishirikiana nasi Kwa ajili ya maendeleo sio kuvuruga amani basi ni ndugu yetu kama Bongo zozo.

Lisu ameanza kuwa Mwanasiasa wa hovyohovyo.
Msigwa ameonyesha wazi kuwa anafaa kuwa Waziri wa utalii.

Mama Samia anapaswa kumteua Msigwa kuwa Mbunge na Kisha amteue kuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii.

Mama Samia Kwa kiasi Fulani ni Mpenda Demokrasia Kwa hiyo ni Wehu TU ,Machozi, Wanasiasa wa hovyohovyo , mafala , malofa na wapumbavu wasio na shukrani , wanasiasa wasio na dira watampinga na kumukana kama vile walivyokua wanapinga Marais waliomtangilia kutoka bara ambao Kwa hulka zao TU ni watu katili na wabinafsi na walafi.

Mama Samia ni Tofauti sana na Watawala waliolivuruga hili Taifa Kwa kujilimbikizia Mali na marafiki zao ambao wengi wao ni wale waliosoma pamoja kwenye baadhi ya vyuo ambavyo vingi vimekua chanzo Cha kuasisi Mafisadi na wanasiasa Wabinafsi wanaolitafuna Taifa hili bila huruma.
Well said 👏 mkuu
 
Nina rafiki msomi na yuko Chadema kufa na kupona, amekuwa sana akiniambia kuhusu Club house inayoendeshwa na Maria Sarungi. Leo nikaamuwa nami nisikilize mjadala wa Royal Tour ambapo Mary Sarungi alikuwa akiwahoji Tundu Lisu na John Heche. Kwakweli baada ya kusikiliza mjadala na kusikiliza hoja zao kuhusu kupinga Royal Tour nimewadharau sana Lisu, Heche na Maria Sarungi mwenyewe.

I won't go into details ila nitataja hoja moja moja tu za Lisu na Heche ambazo kwanza nashangaa wanakuwaje viongozi wakubwa hivyo ndani ya chama kikubwa.

1. Lisu anasema SSH kaenda US kutangaza utalii wakati wakiti watalii wakija ni wageni wa private serious?????? Kweli huyu ilikuwa anaomba Urais mtu asiyejuwa kazi ya kutangaza attractions za nchi niza Serikali??? Private sector kazi yake ni grasp opportunities baada ya Nchi kujulikana. Sababu kubwa yakuwa na namba ndogo ua utalalii hapa nchini ni kwamba only deals with tradion markets instead of opening other avenues hivyo nchi haijulikani.

2. Heche nae anasema gharama zilizotumika kutengeneza Royal tour wangepewa vijana wakanunue ng'ombe wa maziwa wafuge kuliko kutengeza Royal tour??? Serious? Halafu huyu jamaa ni mwalimu alikuwa anafundisha sekondari anajaribu ku compare kutangaza utalii wa nchi na kuwapa vijana hela wakafuge. Sikatai vijana wetu kukopeshwa ila kama Nchi inaweza ikakopesha vijana wetu hela za Ngo'mbe na Royal Tour pia ikafanyia.

3. Maria mimi simjui ila kulingana na watu wanavyo muongelea sina shaka kwamba ni msomi na ana expousure. Kilichonishangaza ni alivyokuwa yuko impressed na bizzare analysis inayofanywa na viongozi wajuu wa Chadema.

Kumalizia. Lisu na Heche niliokuwa na wajuwa kujenga pale Bungeni siyo nyie. Inawezekana kuwa out of active politics na brains zenu zimekuwa drained au ni frustration na serious Maria comments za watu wazito kama hawa nizakutoa on air ili kulinda heshima ya platform.
Lissu Ni mzuri kwenye hoja za kisheria.

Kwenye Mambo mengine ni trash kabisa Kama Mdude.

Heche Hana tofauti na Mdude na hajui chochote zaidi ya kukaza fuvu kubishana na kupinga. Heche, Mdude, Lema wore akili ZINAFANANA.

Maria yeye anaongozwa kwa CHUKI Dhidi ya watu. Na ndio maana hata kabla ya mjadala yeye tayari huwa ana conclusion yake. Kama hukubaliani naye kwanza anakublock. Ni mtu fulani mwenye matatizo ya AKILI.

Mtu ambaye at least huwa anajenga hoja inaeleweka Ni Zitto ingawa kwasasa ana maadui wengi, kwahiyo hata atoe hoja nzuri vipi hawata muunga mkono kwasababu wanaona kama wanampa sifa na kumpandisha kisiasa gym wakati lengo la apotee na asisikike
 
Unajua hoja za Lisu kwenye watu wanaofanya mapenzi ya jinsia Moja inasemekana ziliungwa mkono Kwa kiasi kikubwa na Maria Sarungi Sasa sijajua Heche kule anapotokea kama jamii yake inaunga mkono mambo ayo.
 
Afadhali hata Lissu, ukimsikiliza anajua kujenga hoja kisomi na zinaeleweka, japo kuna muda anazingua

Kuna yule Godbless Lema, dah huyu jamaa ukimsikiliza hajui hata kupangilia anachosema, ni mihemko na kuchanganya mambo mengi bila mpangilio halafu anajiona anajua balaaa

Kuna jamaa anaitwa Thabit Jacob, anaishi Sweden nadhani, huyu jamaa ni msomi na ana exposure nzuri, sema nae hoja zake zinakuwa biased sana hasa akijichanganya na hawa wanaharakati
 
Back
Top Bottom