Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 817
Nina rafiki msomi na yuko Chadema kufa na kupona, amekuwa sana akiniambia kuhusu Club house inayoendeshwa na Maria Sarungi. Leo nikaamuwa nami nisikilize mjadala wa Royal Tour ambapo Mary Sarungi alikuwa akiwahoji Tundu Lisu na John Heche. Kwakweli baada ya kusikiliza mjadala na kusikiliza hoja zao kuhusu kupinga Royal Tour nimewadharau sana Lisu, Heche na Maria Sarungi mwenyewe.
I won't go into details ila nitataja hoja moja moja tu za Lisu na Heche ambazo kwanza nashangaa wanakuwaje viongozi wakubwa hivyo ndani ya chama kikubwa.
1. Lisu anasema SSH kaenda US kutangaza utalii wakati wakiti watalii wakija ni wageni wa private serious?????? Kweli huyu ilikuwa anaomba Urais mtu asiyejuwa kazi ya kutangaza attractions za nchi niza Serikali??? Private sector kazi yake ni grasp opportunities baada ya Nchi kujulikana. Sababu kubwa yakuwa na namba ndogo ua utalalii hapa nchini ni kwamba only deals with tradion markets instead of opening other avenues hivyo nchi haijulikani.
2. Heche nae anasema gharama zilizotumika kutengeneza Royal tour wangepewa vijana wakanunue ng'ombe wa maziwa wafuge kuliko kutengeza Royal tour??? Serious? Halafu huyu jamaa ni mwalimu alikuwa anafundisha sekondari anajaribu ku compare kutangaza utalii wa nchi na kuwapa vijana hela wakafuge. Sikatai vijana wetu kukopeshwa ila kama Nchi inaweza ikakopesha vijana wetu hela za Ngo'mbe na Royal Tour pia ikafanyia.
3. Maria mimi simjui ila kulingana na watu wanavyo muongelea sina shaka kwamba ni msomi na ana expousure. Kilichonishangaza ni alivyokuwa yuko impressed na bizzare analysis inayofanywa na viongozi wajuu wa Chadema.
Kumalizia. Lisu na Heche niliokuwa na wajuwa kujenga pale Bungeni siyo nyie. Inawezekana kuwa out of active politics na brains zenu zimekuwa drained au ni frustration na serious Maria comments za watu wazito kama hawa nizakutoa on air ili kulinda heshima ya platform.
I won't go into details ila nitataja hoja moja moja tu za Lisu na Heche ambazo kwanza nashangaa wanakuwaje viongozi wakubwa hivyo ndani ya chama kikubwa.
1. Lisu anasema SSH kaenda US kutangaza utalii wakati wakiti watalii wakija ni wageni wa private serious?????? Kweli huyu ilikuwa anaomba Urais mtu asiyejuwa kazi ya kutangaza attractions za nchi niza Serikali??? Private sector kazi yake ni grasp opportunities baada ya Nchi kujulikana. Sababu kubwa yakuwa na namba ndogo ua utalalii hapa nchini ni kwamba only deals with tradion markets instead of opening other avenues hivyo nchi haijulikani.
2. Heche nae anasema gharama zilizotumika kutengeneza Royal tour wangepewa vijana wakanunue ng'ombe wa maziwa wafuge kuliko kutengeza Royal tour??? Serious? Halafu huyu jamaa ni mwalimu alikuwa anafundisha sekondari anajaribu ku compare kutangaza utalii wa nchi na kuwapa vijana hela wakafuge. Sikatai vijana wetu kukopeshwa ila kama Nchi inaweza ikakopesha vijana wetu hela za Ngo'mbe na Royal Tour pia ikafanyia.
3. Maria mimi simjui ila kulingana na watu wanavyo muongelea sina shaka kwamba ni msomi na ana expousure. Kilichonishangaza ni alivyokuwa yuko impressed na bizzare analysis inayofanywa na viongozi wajuu wa Chadema.
Kumalizia. Lisu na Heche niliokuwa na wajuwa kujenga pale Bungeni siyo nyie. Inawezekana kuwa out of active politics na brains zenu zimekuwa drained au ni frustration na serious Maria comments za watu wazito kama hawa nizakutoa on air ili kulinda heshima ya platform.