Nimewashangaa sana Lissu na Heche baada ya kusikiliza mjadala wa Royal Tour kwenye Club House ya Maria Sarungi

Nimewashangaa sana Lissu na Heche baada ya kusikiliza mjadala wa Royal Tour kwenye Club House ya Maria Sarungi

Wamebaki kupinga kila kitu

Kutangaza Utalii kosa la mama ni lipi?
Mambo mengine bwn
Viva Mama yetu kipenzii SSH🇹🇿

Hawajapinga utalii maana utalii upo siku zote na Kuna channel Maalum ya utalii, wanachokosoa ni method na gharama iliyotumika. Tukibali alternative views Kama tunahitaji maendeleo.
 
Hawa viongozi kama kina Tundu Lissu na John Heche wanapaswa pia kuwa na Principles fulani za kusimamia!
Huwezi kuwa kila wakati unaongea ongea tu!
Hakuna mtu anayejua kila kitu na huwezi kuhojiwa na kila mtu!
Naona hizi Space na Club house zimeshusha sana credibility za hawa watu na kuwafanya irrelevant kabisa!
Nilicheka sana kwenye mjadala wa uhifadhi na uhamishaji wa Wamasai kutoka Ngorongora kulinda uhifadhi.
Mchungaji Msigwa akawa anatema madini huku Tundu Lissu ameng'ang'ania Wamasai waachwe ila wakati wa mvua wawe wanahamia milimani! Akatema pumba siyo za Nchi hii!

Nani Yuko irrelevant? Kuhoji Rais kukaa wiki nzima kwa aajili ya kupromote movie ya dakika 56 na kukutana na BABA yake Rihanna ndio kuwa irrelevant. Utalii Tanzania ulikiwepo na itaendelea kuwepo bila hiyo movie ya dakika 56 ambayo hata haitangazii utalili ukiiangalia yote.
 
Hawajapinga utalii maana utalii upo siku zote na Kuna channel Maalum ya utalii, wanachokosoa ni method na gharama iliyotumika. Tukibali alternative views Kama tunahitaji maendeleo.
Mlitakaje?
Hv hio movie bila uwepo wa Rais kuna mtu angeangalia?

Bila uwepo wa huyo mzungu na profile yake kuna mtu angepay attention?

Gharama mshaambiwa sio za Serikali..na ht km zingekua za Serikali anachofanya mama ni kibaya?

Alternative views za watu kupewa hela sijui wakanunue ng'ombe?

Mi naona tu they r js trying to be relevant ila kwenye hili wamefeli
 
Achana nao wameshakua wanasiasa wa hovyo hovyo.

Haiwezekani mama anafanya Yale waliyoyapigania Kwa miaka mingi halafu wanapinga TU bila hata aibu.

Kuna mjinga Mwingine nimemsikia akisema eti Filam ya Royal tours haitainufaisha Tanzania Kwa sababu hati miliki ni ya Mtu binafsi.
WAKATI huo huo anasema huyo aliyitengeneza Kwa Nini aitengeneze Kwa gaharama zake atanufaikaje? Yaani mambo ya kipumbavu kabisa .

Yaani mtu anakutangazia nchi Kwa gaharama zake Kwa sababu TU yeye anataka anufaike na filam na wewe iwe ni matangazo halafu unalalamuka kwani angeacha tungenufaika nini? Mbona waafrika tupo hapa miaka mingi lakini hatukuwaza kutengeneza filam kama hiyo. Dunia ni Kijiji MTU yeyote akishirikiana nasi Kwa ajili ya maendeleo sio kuvuruga amani basi ni ndugu yetu kama Bongo zozo.

Lisu ameanza kuwa Mwanasiasa wa hovyohovyo.
Msigwa ameonyesha wazi kuwa anafaa kuwa Waziri wa utalii.

Mama Samia anapaswa kumteua Msigwa kuwa Mbunge na Kisha amteue kuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii.

Mama Samia Kwa kiasi Fulani ni Mpenda Demokrasia Kwa hiyo ni Wehu TU ,Machozi, Wanasiasa wa hovyohovyo , mafala , malofa na wapumbavu wasio na shukrani , wanasiasa wasio na dira watampinga na kumukana kama vile walivyokua wanapinga Marais waliomtangilia kutoka bara ambao Kwa hulka zao TU ni watu katili na wabinafsi na walafi.

Mama Samia ni Tofauti sana na Watawala waliolivuruga hili Taifa Kwa kujilimbikizia Mali na marafiki zao ambao wengi wao ni wale waliosoma pamoja kwenye baadhi ya vyuo ambavyo vingi vimekua chanzo Cha kuasisi Mafisadi na wanasiasa Wabinafsi wanaolitafuna Taifa hili bila huruma.

Kwa hivyo kwako watu waote waipongeze hiyo movie ndio wa maana? Huwezi kujiita msomi kwa kudharau mawazo ya wengine na kuona yako ndio sahihi. I'll tuendelee tunahitaji kukubaliana alternative views za wengine. Inawezekana wewe unachoona sahihi mwingine asione sahihi.
 
Halafu kiongozi kuongea Kila siku unapoteza thamani, ila nasikia maria huwa anaomba fedha kwa mabeberu, wale wachangiaji kama akina Lissu na Heche na viongozi wa CHADEMA hulamba milioni mbili kwa siku, ndio maana hawakosi
Exactly! Ukilalamika na kulialia sana

Utatoka tu nje ya mstari

Ova
 
Tatizo ulitaka kusikiliza unachotaka wewe.

Mbona argument ya Lissu ni nzuri, kwamba kwanini tusiwape Private sector uwezo wa kujitangaza kwenye utalii? Baadala ya Rais kukaa wiki nzima nchi ya ugeni, tungetumia ghrama hizo kuzi empower private sector kwenye utalii hasa kujitangaza.
Kuwapa private sector power ya kuijitangaza kivipi?

Mbona hata sasa private sector wanatangaza huduma zao.

Kwahiyo hata huko kwingine ambako sekta binafsi zimekomaa suala la kutangaza Utalii serikali haihusiki kabisa?

Kila kitu kinafanywa na sekta binafsi?
Hata argument ya heche ni ya muhimu billion Tisa ungeamua kila Mkoa unatoa shindano la innovation kwa vijana mbona Mambo yangekaa viizuri. Tukibali alternative views na sio kuziponda kwa kuangalia umuhimu kwenye application.
Hizo billion 7 umesha ambiwa zimetolewa na sekta binafsi. Na target Ni kutangaza Utalii na siyo kufanya mashindano ya Nani bingwa wa kutoa documentary Bora kuliko mwenzake.
 
Kuna kipi ambacho hao watalii walikuwa hawakijui kuhusu tz labda? Tujipe muda tuone kama watakuja. In short tumekua wazalendo kwenye mambo ya kawaida tumeyapuuzia masuala muhimu
So u think everybody in the US ama Europe anaijua Tanzania?..especially raia wa kawaida?

Was in DC once ktk kusalimiana mtaani tu hv nkasema am from Tanzania hawapajui..kusema East Africa bado hawapati picha kusema Ethiopia,Eritrea na Kenya ndo they were ahhh okayyy that side...

Ni kama vile we saivi how much do you know about Papua New Guinea?ama Barbados...Maldives je?unapajua
Seychelles na Mauritius?!
Acha kujua jina la nchi..vivutio vya ndani unavijuaaa?
 
Nani Yuko irrelevant? Kuhoji Rais kukaa wiki nzima kwa aajili ya kupromote movie ya dakika 56 na kukutana na BABA yake Rihanna ndio kuwa irrelevant. Utalii Tanzania ulikiwepo na itaendelea kuwepo bila hiyo movie ya dakika 56 ambayo hata haitangazii utalili ukiiangalia yote.
CHADEMA hawana agenda sasa hivi. Huo ndio UKWELI mchungu.

Na kibaya zaidi, chama sasa hivi hakina watu wenye akili.

Kimejaa Genge la vijana OYA OYA MASHABIKI Kama Unga Limited na ndio maana Hakuna Cha Msingi utakachopata ukiwasikiliza.
 
Hawa akili zao na mawazo yao watanzania bado vilaza so wanamini propaganda zao zitaibua hisia za watanzania na kuwaunga mkono kwa hoja zao za kitoto kama zamani

Uzuri sasa hivi asilimia kubwa ya watanzania si wakudandia hoja Wana reason out kwanza so unasema Nini na kwa maslahi gani kwaiyo propaganda zao za kipuuzi Sasa hivi zimekuwa hazina mashiko na uzuri wamekosa mtu mwenye ushawishi wakutulisha matango pori tukayaelewa kama enzi za shemasi kigogo ndio maana Sasa hivi hawaeleweki wanataka Nini wapo kudandia na kubuni buni hoja

Mara TUCTA sijui Nini Mara royal tour imewadharirisha wamasai yani ujinga ujinga tu nachoshukuru watz wanawapa makavu live hawataki hoja za kijinga jinga

Tatizo lako una jifunga kwa kusema watanzania waleo ni wa kureason. Sasa watu watareason kivipi iwapo hakuna alternative views. Hatuwezi kureason kwa kukubaliana kwa Jambo moja. Mtu kusema tui empower private sector kwenye utalii Ni kosa? Hivi hai watanzania unao wataja ukiwauliza billion 9 zigawiwe kwa vijana Kama mtaji au kushoot movie wangekujibuje? Turuhusu watu waongee ili mwishoni tupate ukweli wa Nini kifanyike.
 
CHADEMA hawana agenda sasa hivi. Huo ndio UKWELI mchungu.

Na kibaya zaidi, chama sasa hivi hakina watu wenye akili.

Kimejaa Genge la vijana OYA OYA MASHABIKI Kama Unga Limited na ndio maana Hakuna Cha Msingi utakachopata ukiwasikiliza.
Ndo mana Msigwa kaona awe mkweli na moyo wake kampa Mama hongera zake..
 
Halafu kiongozi kuongea Kila siku unapoteza thamani, ila nasikia maria huwa anaomba fedha kwa mabeberu, wale wachangiaji kama akina Lissu na Heche na viongozi wa CHADEMA hulamba milioni mbili kwa siku, ndio maana hawakosi

Unawaponda mabeberu wakati mkuu alikaa wiki nzima ili kuwaomba mabeberu wakekutalii nchini.
 
Tatizo lako una jifunga kwa kusema watanzania waleo ni wa kureason. Sasa watu watareason kivipi iwapo hakuna alternative views. Hatuwezi kureason kwa kukubaliana kwa Jambo moja. Mtu kusema tui empower private sector kwenye utalii Ni kosa? Hivi hai watanzania unao wataja ukiwauliza billion 9 zigawiwe kwa vijana Kama mtaji au kushoot movie wangekujibuje? Turuhusu watu waongee ili mwishoni tupate ukweli wa Nini kifanyike.
Suala la mitaji nalo ni la muhimu
Itafutwe pesa ingine wapewe

Ila suala la movie nalo ni muhimu sana..
 
Soma tena hoja yangu ( Kama una uelewa lakini, ingawa najua huna)
Hauna hoja bwana mdogo. Kwanza ulianza kwa kuilaumu serikali kwa kutoangalia source nyingine za watalii nje ya traditional sources. Halafu ukaisifia Royal Tour ambayo imelenga the most traditional of all sources. Ili kujenga hoja kuwa Royal Tour ni moja ya miradi ya kuvutia watalii, ukataja premier league na documentary ya CNN bila kueleza zilihusika vipi, tulipata faida gani na status zake hivi leo.
Sasa niambie hapo pana hoja gani wakati ya kwanza inajipinga yenyewe na ya pili haina maelezo ya kutosha.

Mnatakiwa kuwa na adabu mnapo tofautiana na mtu. Ukifanya hivyo mjadala unakuwa mzuri na pande zote zinafaidika hata kama hazitakubaliana. Kutanguliza matusi kunaonyesha kuwa hauna nia ya mjadala bali unatafuta ugomvi.

Amandla...
 
Kwa hivyo kwako watu waote waipongeze hiyo movie ndio wa maana? Huwezi kujiita msomi kwa kudharau mawazo ya wengine na kuona yako ndio sahihi. I'll tuendelee tunahitaji kukubaliana alternative views za wengine. Inawezekana wewe unachoona sahihi mwingine asione sahihi.
Sawa
Basi subirini siku Mungu akijalia CDM ikawa madarakani mtafanya hivyo
 
CHADEMA hawana agenda sasa hivi. Huo ndio UKWELI mchungu.

Na kibaya zaidi, chama sasa hivi hakina watu wenye akili.

Kimejaa Genge la vijana OYA OYA MASHABIKI Kama Unga Limited na ndio maana Hakuna Cha Msingi utakachopata ukiwasikiliza.

CCM ndio wenye akili. Akili ya ya kutoza tozo, kukopa na kupandisha vitu Bei kwa kisingizio Cha Vita za Ulaya huko. Kabla hujamuita mtu Ni mjinga jiangalie wewe upo katika ngazi gani? Unaweza kuita mtu mjinga kumbe wewe ndio mwehu. Yani mtu katoa mawazo kwamba kwanini hiyo billion Tisa wasinge toa kusaidia vijana wajasiriamali wewe unamuita mjinga.
 
Hauna hoja bwana mdogo. Kwanza ulianza kwa kuilaumu serikali kwa kutoangalia source nyingine za watalii nje ya traditional sources.
Unanijibu mimi au Nani?
Maana sielewi Kama Kuna sehemu nimezungumzia hicho unachokisema hapo juu. Leta ushahidi.

Maana vijana wengi najua Pombe Kali na mirungi vimewafanya nnaona MARUWERUWE muda mwingi.
ukaisifia Royal Tour ambayo imelenga the most traditional of all sources. Ili kujenga hoja kuwa Royal Tour ni moja ya miradi ya kuvutia watalii, ukataja premier league na documentary ya CNN bila kueleza zilihusika vipi, tulipata faida gani na status zake hivi leo.
Una tatizo kubwa mnoo. Unasoma kwa watu wengine halafu unanijibu mimi?
Hii inasikitisha sana
Sasa niambie hapo pana hoja gani wakati ya kwanza inajipinga yenyewe na ya pili haina maelezo ya kutosha.

Mnatakiwa kuwa na adabu mnapo tofautiana na mtu. Ukifanya hivyo mjadala unakuwa mzuri na pande zote zinafaidika hata kama hazitakubaliana. Kutanguliza matusi kunaonyesha kuwa hauna nia ya mjadala bali unatafuta ugomvi.

Amandla...
Mkuu, pumzika kwanza
 
So u think everybody in the US ama Europe anaijua Tanzania?..especially raia wa kawaida?

Was in DC once ktk kusalimiana mtaani tu hv nkasema am from Tanzania hawapajui..kusema East Africa bado hawapati picha kusema Ethiopia,Eritrea na Kenya ndo they were ahhh okayyy that side...

Ni kama vile we saivi how much do you know about Papua New Guinea?ama Barbados...Maldives je?unapajua
Seychelles na Mauritius?!
Acha kujua jina la nchi..vivutio vya ndani unavijuaaa?

Ndio maana Lissu kashauri private sector isaidiwe kujitangaza nje ya nchi kupitia balozi zetu, na sio kumkalisha Rais nje ya nchi kwa wiki nzima.
 
CCM ndio wenye akili. Akili ya ya kutoza tozo, kukopa na kupandisha vitu Bei kwa kisingizio Cha Vita za Ulaya huko. Kabla hujamuita mtu Ni mjinga jiangalie wewe upo katika ngazi gani? Unaweza kuita mtu mjinga kumbe wewe ndio mwehu. Yani mtu katoa mawazo kwamba kwanini hiyo billion Tisa wasinge toa kusaidia vijana wajasiriamali wewe unamuita mjinga.
Ninyi chaggadema hamtakuwa mnatoza KODI.

Hata Halmashauri ambazo chaggadema waliwahi kutawala watu walikuwa hawalipi kabisa USHURU.
 
Back
Top Bottom