Achana nao wameshakua wanasiasa wa hovyo hovyo.
Haiwezekani mama anafanya Yale waliyoyapigania Kwa miaka mingi halafu wanapinga TU bila hata aibu.
Kuna mjinga Mwingine nimemsikia akisema eti Filam ya Royal tours haitainufaisha Tanzania Kwa sababu hati miliki ni ya Mtu binafsi.
WAKATI huo huo anasema huyo aliyitengeneza Kwa Nini aitengeneze Kwa gaharama zake atanufaikaje? Yaani mambo ya kipumbavu kabisa .
Yaani mtu anakutangazia nchi Kwa gaharama zake Kwa sababu TU yeye anataka anufaike na filam na wewe iwe ni matangazo halafu unalalamuka kwani angeacha tungenufaika nini? Mbona waafrika tupo hapa miaka mingi lakini hatukuwaza kutengeneza filam kama hiyo. Dunia ni Kijiji MTU yeyote akishirikiana nasi Kwa ajili ya maendeleo sio kuvuruga amani basi ni ndugu yetu kama Bongo zozo.
Lisu ameanza kuwa Mwanasiasa wa hovyohovyo.
Msigwa ameonyesha wazi kuwa anafaa kuwa Waziri wa utalii.
Mama Samia anapaswa kumteua Msigwa kuwa Mbunge na Kisha amteue kuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii.
Mama Samia Kwa kiasi Fulani ni Mpenda Demokrasia Kwa hiyo ni Wehu TU ,Machozi, Wanasiasa wa hovyohovyo , mafala , malofa na wapumbavu wasio na shukrani , wanasiasa wasio na dira watampinga na kumukana kama vile walivyokua wanapinga Marais waliomtangilia kutoka bara ambao Kwa hulka zao TU ni watu katili na wabinafsi na walafi.
Mama Samia ni Tofauti sana na Watawala waliolivuruga hili Taifa Kwa kujilimbikizia Mali na marafiki zao ambao wengi wao ni wale waliosoma pamoja kwenye baadhi ya vyuo ambavyo vingi vimekua chanzo Cha kuasisi Mafisadi na wanasiasa Wabinafsi wanaolitafuna Taifa hili bila huruma.