Nasikitika kuwa wengi humu wanaamini kuwa pccb wanafanya uchunguzi wakati kiuhalisia wanafanya siasa. Hamna kitu pale.
Ndo nani?Wakimuhoji lugala hawafanyi siasa
Yule kiazi wa ufipa lugalambukeNdo nani?
Ndugu yangu, majina yote hayo ni mageni kwangu. Lugalambwike/Lugalambuke huyu wa kwenye mpira wa miguu?Yule kiazi wa ufipa lugalambuke
Namuamini sana kuliko weweWabunge wenzie wamesema hayo hapo, je bado waumuunga mkono yule mvuta bangi, au mpo pamoja?
Mtagalagala mpaka mbaki kama mlivyo zaliwa na CDM itabaki kuwa juu juu juu zaidi. matumizi ya uwanja na trafic light chato hayajui mnajua ruzuku za CDM.Mmoja wa puppets ni johnthebaptist ambae anawavuruga akili wapambe wa Mbowe. Wanasahau kuwa pesa zilikatwa ili ziwekwe kwenye fixed account ili zitumike ajili ya uchaguzi.Sasa zimeyeyuka na aliyezichota anajulikana bingwa wa maigizo.
Hivi nyie vichelema, mnamlinganisha Rais na mtu yeyote! Kwa taarifa yako Fedha yote ni mali yake kikatiba kama afisa masuhuli wa nchi hii. Hiyo bajeti inayosomwa ni yakeHuja msikia rais akibadilisha matumizi ya fedha za serikali tena bila kuidhinishwa na bunge?
Mbona mnasumbua watu kwa hisia? Jee kama, jee kama mpaka lini?Uchunguzi bado unaendelea. Subiri majibu. Je kama zilichotwa baada ya kuhama?
Leta nyaraka sio eti kwa mujibu was Waitara.Mfano wa Nssf na pesa ya chama kwa akaunti maalumu ya uchaguzi haviendani
Pili deni lenyewe chama kilikopeshwa kwa mdomo kimabavu. Hii ni kwa mujibu wa Waitara. Ni deni hewa tu alilojitengenezea mwenyekiti. Hapa kuna mtu laziima aibike japokuwa alifanya maigizo.
Hivi vila Laptop na 7G naona vinampongeza Mwenyekiti aendelee kupata Nguvu za kiume kwa Faru JohnMkuu umeeleza vzr. Somo limeeleweka. Katiba yao kama inasema hivyo pccb hawana lao labda wakamate KATIBA waiweke mahabusu kisha kisutu. Akili ya kushikiliwa
Huyu lijuamlizi hajaweza kuwa specific na matumizi mabaya kwa kuweka hata ushahidi.
Haona wananchi walihoji ununuzi wa bombadia umetumia bajeti gan na ulifuata taratibu zipi za manunuzi.?
Walau walionesha kitu halisi.
Sasa yeye watu wanahati inayordhisha ya ukaguzi wa hesabu afu unawatuhuhumu.
Ukiina hivyo ujue ni petty issues ambazo haziathiri chochote.
Tuendelee kunawa kwa maji tiririka.
Nyinyi watetezi wa chadema mnajitetea sana kwenye tope la tuhuma nzito.
Chama cha demokrasia na maendeleo kinachowatoza kodi viongozi wote kwa mgongo wa katiba ya chama, ambayo ni mbovu.
Suala la lijuakali sio michango.
Wala sio uhalali wa michango.
Huu ni upotoshaji.
Juakali anapinga matumizi ya fedha zinazokatwa kutoka kwa wabunge.
TAKUKURU haiwahoji wabunge kuhusu matumizi ya fedha. Bali inawahoji ili kujiridhisha kama kweli walichangishwa fedha hizo na hapo sasa.
MUZIKI halisi utaanzia kwenye ukaguzi wa matumizi ya halali fedha hizo,kama chama kinachopewa ruzuku ya serikali na ambayo ni fedha ya walipakodi wa nchi hii.
Hapo ndio jinai inapoweza kupatikana, jinai haiwezi kupatikana midomoni bali kwenye Documents za halali za orodha ya matumizi ya CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO,
CHADEMA.na hili ndio haswa linalomfanya mwamba apige Faru john.
Mpaka kuanguka chakali.
Msijipe moyo mapema, mwenye album hii ni Mh mbowe mwenyewe sio nyinyi PUPPETS.
Magufuli aliwahi badirisha fedha za sikukuu zikajenga barabara ya kuanzia Morroco hadi Mwenge pale DarMabadiliko ya fedha ndicho lijuakali alikuwa analamikia msihamishe magoli
Mabadiriko ya matumizi yanaruhusiwa, lakini yafuate taratibu zake.... lawama kwa Magufuli haikuwa kwanini kabadili, bali kwanini kazitumia bila kuidhinidhwa na bunge..."Nimalizie kwa kusema fedha yoyote ya taasisi huweza kubadilishiwa matumizi na hiyo siyo dhambi ndio maana hata fedha za bajeti zikifika serikalini zinaweza kubafilishiwa matumizi kwa nia njema tu ya kuleta maendeleo kwa haraka"
Mbona magufuli mnamlaumu kwa kutumia fedha bila idhini ya bunge?
Acha kutoa mfano wa mtu ambaye anahaki ya kufanya hivyoMagufuli aliwahi badirisha fedha za sikukuu zikajenga barabara ya kuanzia Morroco hadi Mwenge pale Dar
Hivi nyie vichelema, mnamlinganisha Rais na mtu yeyote! Kwa taarifa yako Fedha yote ni mali yake kikatiba kama afisa masuhuli wa nchi hii. Hiyo bajeti inayosomwa ni yake
Kama hujui kitu uliza. Hata CCM haiwezi Sema ni hela yake au mwenyekiti ni mtu mmoja hapa Tanzania ambaye ni Rais tuNa pesa ya chadema ni mali ya chadema.