Nyinyi watetezi wa chadema mnajitetea sana kwenye tope la tuhuma nzito.
Chama cha demokrasia na maendeleo kinachowatoza kodi viongozi wote kwa mgongo wa katiba ya chama, ambayo ni mbovu.
Suala la lijuakali sio michango.
Wala sio uhalali wa michango.
Huu ni upotoshaji.
Juakali anapinga matumizi ya fedha zinazokatwa kutoka kwa wabunge.
TAKUKURU haiwahoji wabunge kuhusu matumizi ya fedha. Bali inawahoji ili kujiridhisha kama kweli walichangishwa fedha hizo na hapo sasa.
MUZIKI halisi utaanzia kwenye ukaguzi wa matumizi ya halali fedha hizo,kama chama kinachopewa ruzuku ya serikali na ambayo ni fedha ya walipakodi wa nchi hii.
Hapo ndio jinai inapoweza kupatikana, jinai haiwezi kupatikana midomoni bali kwenye Documents za halali za orodha ya matumizi ya CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO,
CHADEMA.na hili ndio haswa linalomfanya mwamba apige Faru john.
Mpaka kuanguka chakali.
Msijipe moyo mapema, mwenye album hii ni Mh mbowe mwenyewe sio nyinyi PUPPETS.