Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Jana jioni nilikuwa naongea na walimu fulani aisee CCM imepoteza kwao. Nilijaribu kujifanya Mimi ni mwanaCCM nikaimba ngojera ya stiglaz standadgeji vivuko uchumi wa kati flyova nk.
Majibu yao yalikuwa haya.
Miaka miwili nyuma waliongezwa shilingi (5000-7000) kwenye mishahara yao.sijui ni mwaka gani. Mwaka huu wameongezwa (tsh 30,000-50,000) kwa muda wa miaka mitano wameongezwa wastani wa tsh 30,000 kitu ambacho Ni kinyume na sheria kabisa.
Wakaongeza kuhusu kutolipwa stahiki zao ambazo zilitokana na kupanda madaraja enzi za JK . Waliongezwa madhila wanayoyapata kutokana na makato ya bodi ambapo inawasababisha kwenda kukopa kea wakopeshaji umiza ambao wengi wao ni watu wa musoma.
Walimu wengi wameweka kadi za benk rehani ili wapate mikopo dhalili hii yote kea mujibu wao adui Yao namba moja ni CCM.
Rais mwalimu
Mke wa rais mwalimu
Waziri mkuu mwalimu
Ila hawajawasaidia.
Poleni walimu wangu Mungu atawafuta machozi.
Majibu yao yalikuwa haya.
Miaka miwili nyuma waliongezwa shilingi (5000-7000) kwenye mishahara yao.sijui ni mwaka gani. Mwaka huu wameongezwa (tsh 30,000-50,000) kwa muda wa miaka mitano wameongezwa wastani wa tsh 30,000 kitu ambacho Ni kinyume na sheria kabisa.
Wakaongeza kuhusu kutolipwa stahiki zao ambazo zilitokana na kupanda madaraja enzi za JK . Waliongezwa madhila wanayoyapata kutokana na makato ya bodi ambapo inawasababisha kwenda kukopa kea wakopeshaji umiza ambao wengi wao ni watu wa musoma.
Walimu wengi wameweka kadi za benk rehani ili wapate mikopo dhalili hii yote kea mujibu wao adui Yao namba moja ni CCM.
Rais mwalimu
Mke wa rais mwalimu
Waziri mkuu mwalimu
Ila hawajawasaidia.
Poleni walimu wangu Mungu atawafuta machozi.