Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,442
Hatimaye safari yangu ya kutoka nkoani Simiyu wilayani Itilima imefika mwisho hapa mjini Daslama
Nilikua makini sana pale ubungo,nimetoka nje nimekuta wanauza visamaki vina kamba kamba na wengine wana mikia mikia hivi,nikanunua vipande kadhaa na supu
Nikamsubiri Jamaa angu kanifuata na motokaa yake hadi kitaa Sinza
Nimekaa hapa nakunywa wine nawaona watoto wakali wanapita huku kitaa na nikiangalia juu naona mwezi mwekundu
Ama kweli Deslamu raha sana ,kesho ntaenda kushangaa maghorofa kule mjini na ntaenda kuonana na ndugu yangu JIWE pale state house
Asanteni nyote mlionipa mwongozo pindi nitakapoingia hapa mjini
Wanaume wa dar hujawaona mpaka sasa?
BTW hongera kwa kufika salama.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] wanaume wa Dar inasemekana wamekimbilia ndani wanaogopa kupatwa kwa mwezi yani yani washajifungia ndani kuogopa lunar eclipseWanaume wa dar hujawaona mpaka sasa?
BTW hongera kwa kufika salama.
hahaaa, eti Wema Sepetu na kundi lake!!Pole dogo, Kumbuka mademu wengi wa Bongo ni choka ile mbaya haswa kwa sasa ukizingatia uchumi hawana na wale waliokuwa wanawapiga mizinga hawana njia zingine za kutunza watu mijini. Siku hizi mshikaki mmoja tu au punje tu ya mshikaki unapata Wema Sepetu na kundi lake kirahiiiiiiiiiisi kama hauna akili vile. Ukata si lele mama, mademu wanakoma hivi sasa mpaka wanatia huruma. Magufuli oyeeeee.
hahaaa, eti Wema Sepetu na kundi lake!!
nikupe tahadhari mkuu ucthubutu kukaribia mbingu ya mfalme jiwe ata umbali wa mita 200 kwa maana utapata kuwafahamu wale wasiojulikana na ukiwafahamu tu mdomo wako utafunga milele hautaongea tena na hautakuwepo