Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau wa JF
Nimeingia Iringa muda huu kikazi
Nimeagiza supu nzuri, tamu, ya kutosha na tena yenye ladha ya kipekee kabisa
Furaha yangu ilizidi zaidi nilipoambiwa na mhudumu kuwa bei yake
shs 1,500 tu.
Nafurahi sana kuwa Mkoani Iringa
Nimeingia Iringa muda huu kikazi
Nimeagiza supu nzuri, tamu, ya kutosha na tena yenye ladha ya kipekee kabisa
Furaha yangu ilizidi zaidi nilipoambiwa na mhudumu kuwa bei yake
shs 1,500 tu.
Nafurahi sana kuwa Mkoani Iringa