muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Mbona mnamtisha jamaa😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na kwa muonekano wa hiyo supu,itakuwa ya dog hiyo kabisaa, mimi ni mtaalam wa nyamaSio ya mbwa???
Hiyo lazima ni supu ya "kadodo mung'asi". HongeraWadau wa JF
Nimeingia Iringa muda huu kikazi
Nimeagiza supu nzuri, tamu, ya kutosha na tena yenye ladha ya kipekee kabisa
Furaha yangu ilizidi zaidi nilipoambiwa na mhudumu kuwa bei yake
shs 1,500 tu.
Nafurahi sana kuwa Mkoani Iringa
View attachment 1752553
Upo Miami Night Club!Wadau wa JF
Nimeingia Iringa muda huu kikazi
Nimeagiza supu nzuri, tamu, ya kutosha na tena yenye ladha ya kipekee kabisa
Furaha yangu ilizidi zaidi nilipoambiwa na mhudumu kuwa bei yake
shs 1,500 tu.
Nafurahi sana kuwa Mkoani Iringa
View attachment 1752553
Kama wenzako wanaokunywa hawadhuriki, we kunywa tu chief. Piga maishaWadau wa JF
Nimeingia Iringa muda huu kikazi
Nimeagiza supu nzuri, tamu, ya kutosha na tena yenye ladha ya kipekee kabisa
Furaha yangu ilizidi zaidi nilipoambiwa na mhudumu kuwa bei yake
shs 1,500 tu.
Nafurahi sana kuwa Mkoani Iringa
View attachment 1752553