Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Zipo ila siyo nyama nyingiHujawahi kula supu ya buku jero au?
Hiyo picha iko mitdaoni tu wala hajapigaHuyo atakuwa mbwa wa wema
Isije kuwa ni supu ya mbuzi wa wenyeji wa hapo tu,ukiweza utupe mrejesho zaidi.Zipo ila siyo nyama nyingi
Ova
Hamia huku ,maisha mazuri sanaWadau wa JF
Nimeingia Iringa muda huu kikazi
Nimeagiza supu nzuri, tamu, ya kutosha na tena yenye ladha ya kipekee kabisa
Furaha yangu ilizidi zaidi nilipoambiwa na mhudumu kuwa bei yake
shs 1,500 tu
Nafurahi sana kuwa Mkoani Iringa
View attachment 1752511
Supu Iringa siyo aghali kwa sababu mbwa hawana bei kubwa. Endelea ku enjoy mkuuWadau wa JF
Nimeingia Iringa muda huu kikazi
Nimeagiza supu nzuri, tamu, ya kutosha na tena yenye ladha ya kipekee kabisa
Furaha yangu ilizidi zaidi nilipoambiwa na mhudumu kuwa bei yake
shs 1,500 tu
Nafurahi sana kuwa Mkoani Iringa
View attachment 1752511