Nimewasili Mkoani Iringa na muda huu napata supu safi kwa bei ya sh. 1,500 tu

1,500 unaita 'tu' na supu ya 500 asemaje 'tuu'...mboga saba sijui mupoje.
 
Supu Iringa siyo aghali kwa sababu mbwa hawana bei kubwa. Endelea ku enjoy mkuu
 
Kama ni Iringa hiyo ni supu ya mbwa mkuu ndiyo maana wanauza nyingi kwa buku jero.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…