MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Mnaojiuliza na Kuumizwa kama Mimi ni kwanini Simba SC ni sawa na Mke Mkongwe wa Mume Shababi Yanga SC ( nikimaanisha anafungwa muda wowote ule ) majibu ni haya yafuatayo.....
1. Mjumbe Mulamu Ng'ambi
2. Mratibu Abbas Suleiman
3. Kocha Msaidizi Selemani Matola
4. Mwenyekiti wa Wanachama Simba SC Murtaza Mangungu
5. CEO Barbara Gonzalez
6. Meneja Patrick Rweymamu
7. Kipa Aishi Manula
8. Beki Shomary Kapombe
9. Kiungo Jonas Mkude
Wenye kuujua vyema Mpira wa Tanzania ( Bongo ) tulijua tu kuwa ili Kuwatuliza Mashabiki na Hasira zao Kali leo Geita Gold FC angekufa nyingi tu kama ilivyotokea na kuna Watu sasa huu Ushindi wa Leo utawasahaulisha mabaya yote yaliyopelekea Fiston MINOCYCLINE Mayele kutufanya atakavyo tarehe 13 August, 2022 katika Mechi ya Ngao ya Jamii Uwanja wa Mkapa.
Nawakumbusha tu kuwa tarehe 23 Oktoba, 2022 siyo mbali hivyo tujiandae tena Kulia kwani piga ua hawa Watu wangu Tisa ( 9 ) niliowataja hapa ni lazima tu watauza Ramani ya Vita kwa GSM na Yanga SC na kuendelea kuwa Pombe ya Ngomani kwa Kufungwa nao.
1. Mjumbe Mulamu Ng'ambi
2. Mratibu Abbas Suleiman
3. Kocha Msaidizi Selemani Matola
4. Mwenyekiti wa Wanachama Simba SC Murtaza Mangungu
5. CEO Barbara Gonzalez
6. Meneja Patrick Rweymamu
7. Kipa Aishi Manula
8. Beki Shomary Kapombe
9. Kiungo Jonas Mkude
Wenye kuujua vyema Mpira wa Tanzania ( Bongo ) tulijua tu kuwa ili Kuwatuliza Mashabiki na Hasira zao Kali leo Geita Gold FC angekufa nyingi tu kama ilivyotokea na kuna Watu sasa huu Ushindi wa Leo utawasahaulisha mabaya yote yaliyopelekea Fiston MINOCYCLINE Mayele kutufanya atakavyo tarehe 13 August, 2022 katika Mechi ya Ngao ya Jamii Uwanja wa Mkapa.
Nawakumbusha tu kuwa tarehe 23 Oktoba, 2022 siyo mbali hivyo tujiandae tena Kulia kwani piga ua hawa Watu wangu Tisa ( 9 ) niliowataja hapa ni lazima tu watauza Ramani ya Vita kwa GSM na Yanga SC na kuendelea kuwa Pombe ya Ngomani kwa Kufungwa nao.