Nimewatukana voda na hichi ndicho walichonijibu

Deejay nasmile

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
5,794
Reaction score
5,352
Kwa muda mrefu sana wamekuwa wakinisumbua na sms zao mara "soka letu,jibu machache uingie ujishindie kiasi cha tsh 22,000,00...manula ni A.kipa B.beki??


Mi kwa hasira nikawajibu "wasen...e nyie acheni kusumbua watu..ku...m..k zenu"

Wakarudisha majibu

"HONGERA NAMBA YAKO 07**** IMEINGIA KWENYE DROO NA UNAWEZA KUJISHINDIA TSH 29,000,000 BADO POINTI CHACHE TU KUSHINDA"


ndio nipo hapa naendelea kutafuta matusi mengine konki nijishindie mtonyo
 
Mwaka jana mwanzoni niliwapigia simu tigo kuwataka wasitishe matangazo yao ya kamari kwani mimi ni mwislam safi na kamari kwangu ni haramu. Japo sio mwislam waliniomba Rashid na wakaahidi kusitisha matangazo yao.

Waliendelea kunitumia SMS mpaka nilipoachana nao(sio kwa sababu ya kamari) line nilitupa.
 
Alafu wanaboa sana..wanatuma mfululizo sms moja hata mara 10 kwa siku
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Weka Salio uone, linakatwa juu kwa juu kwa maana umetukana matusi na pia umeambiwa namba yako imeingia kwenye droo na hapo ndipo utaeleza ni droo ya kitanda, meza,gari,au mchezoni
 
Weka Salio uone, linakatwa juu kwa juu kwa maana umetukana matusi na pia umeambiwa namba yako imeingia kwenye droo na hapo ndipo utaeleza ni droo ya kitanda, meza,gari,au mchezoni
Hahaha ..kwahiyo watanigeuzia kibao na wakat kosa ni lao kutuma tuma sms za ajabu
 
Weka Salio uone, linakatwa juu kwa juu kwa maana umetukana matusi na pia umeambiwa namba yako imeingia kwenye droo na hapo ndipo utaeleza ni droo ya kitanda, meza,gari,au mchezoni
Hahaha ..kwahiyo watanigeuzia kibao na wakat kosa ni lao kutuma tuma sms za ajabu
 
Usiombe uwe umepigika halafu kuna mtu amekwambia atakutumia hela. Inaingia sms unajua hela unakutana na sms imeandikwa kwa herufi kubwa SHANGWE SHANGWENA.
Hahahaha..yaan utamind hatari
 
Simu yangu ipo Muted always sitaki usumbufu wa milio ya meseji za hovyo.
Sio mlio tu mkuu.shida ni wanatupa kazi ya kufuta ujinga wao mara kwa mara..alafu pia zile notificition pale kweny display.mtu unajua sms ya maana kumbe...ushenzi tu
 
Dah mimi nilijiabisha nilienda kwenye ofisi za voda zilizopo karibu yangu nikamkaba koo mfanyakazi mmoja,nikidhani hizi meseji za kipuuzi wananiandikia kutoka hapo ofisini kwao kumbe zinatoka huko makao makuu
 
Dah mimi nilijiabisha nilienda kwenye ofisi za voda zilizopo karibu yangu nikamkaba koo mfanyakazi mmoja,nikidhani hizi meseji za kipuuzi wananiandikia kutoka hapo ofisini kwao kumbe zinatoka huko makao makuu
Hahaha sipat picha alivotumbua macho kwa hofu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…