Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Kwa muda mrefu sana wamekuwa wakinisumbua na sms zao mara "soka letu,jibu machache uingie ujishindie kiasi cha tsh 22,000,00...manula ni A.kipa B.beki??
Mi kwa hasira nikawajibu "wasen...e nyie acheni kusumbua watu..ku...m..k zenu"
Wakarudisha majibu
"HONGERA NAMBA YAKO 07**** IMEINGIA KWENYE DROO NA UNAWEZA KUJISHINDIA TSH 29,000,000 BADO POINTI CHACHE TU KUSHINDA"
ndio nipo hapa naendelea kutafuta matusi mengine konki nijishindie mtonyo
Mi kwa hasira nikawajibu "wasen...e nyie acheni kusumbua watu..ku...m..k zenu"
Wakarudisha majibu
"HONGERA NAMBA YAKO 07**** IMEINGIA KWENYE DROO NA UNAWEZA KUJISHINDIA TSH 29,000,000 BADO POINTI CHACHE TU KUSHINDA"
ndio nipo hapa naendelea kutafuta matusi mengine konki nijishindie mtonyo