Nimewaza Ujinga: Kwanini magari yasigome kuwaka mpaka dereva atakapochomeka leseni yake na funguo kwa pamoja?

Nimewaza Ujinga: Kwanini magari yasigome kuwaka mpaka dereva atakapochomeka leseni yake na funguo kwa pamoja?

Its information and communication technology. Kwa kiswahili ni tekinolojia ya taarifa na mawasiliano. Wewe unakuja kutunga yakwako kwamba ni tekinolojia ya taarifa na kompyuta....... Hivi wewe unahisi humu ndani tumezaliwa mwaka 2015?!

Hebu muwe mnasoma vitu na kuelewa maana yake halisi.
 
Mkuu mawazo mazuri sana ila fanya modification kidogo ukijaribu ku consider vitu vifuatavyo,

1. Urgency: Yan ile uharaka wa huduma ya gari ukihitajika inakuwaje ?

2. Power source inawezekana ikawa kitu kidogo ila ni kikubwa sana kwa nchi za Africa, kama umeme kwetu huku tanesco ni tatizo, sasa hapa inakuwa changamoto kidogo kuna magari yatakuja kuzima kwene trafic jam ya hatari na yasiwake mapema na yasiwake sababu system zimezima na gari inashindwa kulink information...

The idea is very nice redesign it a bit and it will be money...
 
Bado unataka kubishana na mimi?!
Screenshot_20210519_165339.jpg
 
Chadema wakumbuke kwamba shabiki anabadilika kutokana na treand but mwanachama ni royal
 
Huu ushauri wa kimagu magu haufai hata kuuwaza. mtandao kwa hapa lupaso ni mpaka tupande kwenye mnazi ndiyo tuwasiliane na ndugu zetu. Kwa hiyo unataka tuwe tunapandisha magari yetu juu ya mnazi ndiyo tuyawashe?
 
ICT = TEHAMA
Ha ha ha ha ha. Hapo bi dada umetumia applied translation ila sio actual translation.

Neno Information lina maanisha maanisha is taarifa kwa kiswahili.

Ndio maana tuna neno TAARIFA YA HABARI. Neno habari ni dogo kwa neno taarifa sababu neno taarifa ni kubwa kwa neno habari.

So si kweli kuwa neno information kwa kiswahili ni Habari.
 
Ha ha ha ha ha. Hapo bi dada umetumia applied translation ila sio actual translation.

Neno Information lina maanisha maanisha is taarifa kwa kiswahili.

Ndio maana tuna neno TAARIFA YA HABARI. Neno habari ni dogo kwa neno taarifa sababu neno taarifa ni kubwa kwa neno habari.

So si kweli kuwa neno information kwa kiswahili ni Habari.
Nini kirefu cha TEHAMA?
 
Wazo pia. So vibaya kuota!

Ila itakuwa inaingilia sana uhuru wa watu bila faida yoyote ya maana. Ajali nyingi, kwa maoni na uzoefu wangu, zinatokea kwa uzembe wa madereva na sio Kwa vile hawana leseni. Vipi madereva wa nje/wenye leseni za nchi nyingine? Vipi mtu (hata asiye dereva) akitumia leseni ya mtu mwingine).. huenda kaiiba.

Hili la usajili wa namba za simu kwa NiDA tu limeshindwa kuondoa utapeli wa "tuma kwenye namba hii" tutaweza hilo la leseni?
 
N
Ha ha ha ha ha. Hapo bi dada umetumia applied translation ila sio actual translation.

Neno Information lina maanisha maanisha is taarifa kwa kiswahili.

Ndio maana tuna neno TAARIFA YA HABARI. Neno habari ni dogo kwa neno taarifa sababu neno taarifa ni kubwa kwa neno habari.

So si kweli kuwa neno information kwa kiswahili ni Habari.
News and information. Kama information ni habari, hivyo news ni kitu gani?
 
Basi bila shaka umenielewa. Asante

TEHAMA = ICT
Ha ha ha ha aiseeee. Kuna haja ya kufuatilia sana watu wanapataje ajira serikalini, sasa kama mtu anashindwa kutofautisha neno taarifa na Habari, tunachangamoto sana.

Habari ni aina ya taarifa iliyo kamilika na yenye chanzo na tamati kuhusu tukio fulani.

Kila habari ni taarifa ila sio kila taarifa ni habari. Neno taarifa ni mkusanyiko wa chembe au elementi za ufahamu kuhusu tukio lolote.

Daktari anapokupima kipindi ukiumwa, anachukua sampo ya damu yako ikiwa ni mojawapo ya kiambishi fizikia chenye chembe zitazobeba taarifa kuhusu hali yako kiafya. Akisha peleka maabara na kupima damu akajua kisababishi cha wewe kuumwa kutokana na taarifa iliyobebwa na damu yako then ataandaa habari kukupasha unasumbuliwa nini na tiba yako nini.


Huyo mtu m'moja kutokana na ufahamu wake mdogo juu ya matumizi ya misamiati sahihi ya lugha ya kiswahili katika kutafasiri neno la kiingereza information, amewamislead watumiaji wa haya maneno bila kujua au kwa makusudi.

Neno tehama linaweza kuwa sahihi kama matumizi yake ambayo yamekusudiwa na taasisi husika. Ila haimaanishi kuwa ni definition au Abbreviation ya neno ICT.

So, neno Taarifa kwa English ni Information. Neno habari unaweza tumia neno News labda.
 
hivi ndo ingekuwa tatizo kama la leo tanesco,hizi gari zingesukumwa na punda
 
N

News and information. Kama information ni habari, hivyo news ni kitu gani?
News ni mpya...

Latest information. Ndio maana kuna mtu ukikutana nae anakwambia lete mpya, au nipe mpya za huko ulipotoka.

News ni simply wingi wa neno New.

So tutafute neno habari kwa English inaitwaje!
 
Back
Top Bottom