Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ThanksMawazo mazuri sana
Asante sana kaka mkubwa. Ungetoa ufafanuzi kidogo ili wadau wengine wa hapa JF wafahamu pia hizo hasara.Umejitahidi kuwaza lakini wazo lako lina hasara nyingi kuliko faida.
Sina gari. Bado ninakaa kwa shemeji yangu. Ninamsaidiaga kuosha gari lake kila siku jioni akitoka kazini.Una gari kweli ww
Hata mimi ninashangaa. Ngoja wataalam waje kutoa ufafanuzi wa kina.Kuhusu network, hawa wenye malori makubwa wamewezaje?
Maana huwa yanaonekana popote yalipo.
Mzee wako alikwambia jambo sahihi kabisa na wala hakukosea.Mzee wangu aliwahi kuniambia, kazi ya lock yoyote duniani sio kumzuia kabisa mwizi kuiba bali kumpa ugumu wakati wa kuiba.
Sawa mkuu.Mwishowe utachomeka kila kitu na bado yakataka na Rushwa hapo ndio patamu sasa.
Faida.Asante sana kaka mkubwa. Ungetoa ufafanuzi kidogo ili wadau wengine wa hapa JF wafahamu pia hizo hasara.
2. Gharama kubwa itatumika endapo utaamua kuwa katika mfumo huo.
Hata demokrasia ina gharama zake ndio maana serikali inatoa bilioni 300 kwa ajili ya uchaguzi.3. Running Cost ni kubwa sana katika kufuatilia magari nchi nzima.
Mbona kuna baadhi ya gari zinafungwa mpaka GPS? Hii inakuwa ni sehemu ya gharama ya registration ya chombo cha usafiri.4. Gari zote lazima zifungwe mfumo huo.
Naona unalizimisha sana wazo lako tulikubali.Mbona kuna baadhi ya gari zinafungwa mpaka GPS? Hii inakuwa ni sehemu ya gharama ya registration ya chombo cha usafiri.
Kuongezwa watu wa kazi gani? Leseni inakuwa linked na server za TRA kama ambavyo simcard ya Tigo inakuwa linked na server zao.5. Kitengo cha customer service kiongezewe watu.
Sijakulazimisha chochote. Kama haukubaliani nalo ni wewe kwa maana sio lazima members wote wa JF tuwe na akili zinazofanana.Naona unalizimisha sana wazo lako tulikubali.
Changamoto labda ni network coverage kwa sehemu za vijijini.Hata hivyo unapoleta wazo kama mradi lazima utuelezee faida na hasara zake. Wewe umeelezea faida tu. Sasa naomba ueleze hasara zake.