Kitonga una km 8 kona kali na umesimama haswaa.sio mlima wakuendea kwa pupa.ulishuka kwa bodaboda au gari?Wakuu naandika uzi huu sasa niko njian to dar nikitokea njombe.nau niko moro hpa kwa mda kadhaa afu naanza safar kwenda dar..
Nilichotaka kusema nikwamba leo bhna..nimeweka record meshuka mlima kitonga kwa dakika 9naa..au 10 kbsa ....ila safar za usiki tamu sanasana
Hakuna longo longo.
Kwa gar mkuu..sema njia nina uzoefu nayo sana sabb mwaka km wanne iv napita lkn cjawaj shuka kwa dkk hiz ..mana mara nying huwa malor huchelewesha lkn leo naanza mpk namaliza cjapishana na gar..Kitonga una km 8 kona kali na umesimama haswaa.sio mlima wakuendea kwa pupa.ulishuka kwa bodaboda au gari?