Nimeweka record leo mlima kitonga.

nawaona wanakula ubuyu ubungo wakijishauri labda mkuu atabadili gia angani wakati mtaani tuna graduates wana mwaka wa 7 hajuh ataajiriwa lin
Dah sana yan watu kibao mitaan yan..jobless sema mung atawasaidia ila ttzo la wasomi hawa bhn akil zao kuajiriwa tu na sio kujiajir ..atakwambia sina mtaji akipata kaz kasahau mara kachukua mkopo wa gar misele town isiyo na maana...afu ww.ukitisua hawachelewi kukuita freemason..
 
ila baadhi wanajijua ko kama wapo vitani wapo teyali kwa lolote ila balaa linakuja huku mtaani atakupokeaj kaka ni sheeedahhh
 
weka picha ndugu
 
[QaUOTE="24hrs, post: 20913933, member: 402793"]wanadhani wote waajiriwa wenyew wanasumbua mjin kumbe vyet fek blood ful ni muda wa kuwagongea mademu zao sasa kutesa kwa zamu...
unajua humu sio facebook mkuu,mwambie aweke picha na hiyo d4d tumuone[/QUOTE]
Kwaiyo unataka niweke picha humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…