hata usipoweka hatuna tatizo magari ya kampuni hayanaga tatizo[/QUOTE]Kwaiyo unataka niweke picha humu.
kampuni yenu imetimiza miaka mingapi vile tokea iingiea hapa nchini au thread yako ya kwanza umeikana rasmiAnacho kiongea unamuelewa uyo..mi.simuelewi au anachet fek so kachanganyikiwa..
Mkuu nilishakujibu mi sio muajiriwa na km umekariri kuona toyota hilux d4d zinamilikiwa na makampun polee..ila tembea uondoe ushamba huo.[/QUOTE]hata usipoweka hatuna tatizo magari ya kampuni hayanaga tatizo
kiufupi tu wafanyabiashara wakweli huwa hawajifichi nyuma ya id fake hata siku moja.ahaaaaa mpeni balimi ya 6 haendelee kumwaga chenga zake huyu kima
kima mmja hiv anazani hapa ni insta ama fb ndo mana weng wamemkoma mangeIv unajuana na uyo
mbona m nimejifichakiufupi tu wafanyabiashara wakweli huwa hawajifichi nyuma ya id fake hata siku moja.
si ulikua unaenda dar,bado haujafikaUsipende kudandia vitu.soma huu uzi vizur ndo uulizage vitu.vya maana unaauliza vitu vilivyoshapitwa na wakat
uzuri hapa hamna ngumi ahaaa we tamba tu mda wa lunch kula kulalakiufupi tu wafanyabiashara wakweli huwa hawajifichi nyuma ya id fake hata siku moja.
na mimi niko mafichoni pia,usijifiche gizani tu utajiumbua bora ujifiche kwenye mwangambona m nimejificha
angalia thread yako ya kwanza kupost then uje unidanganyeHujielewi ww.
Embu tag iyo.thread ambayo mm nimesema nina kaampun..ttz nilishwakwambia unadandia vitu.iyo thread unayozungumzua hujaielewa ww kasome.vizur...kampuni yenu imetimiza miaka mingapi vile tokea iingiea hapa nchini au thread yako ya kwanza umeikana rasmi
hapana ndo mwanzo wa kuleteana mambo ya fb hii ni jf unaleta mada tunajadilim mambo mali ya mshua ama ya company m hainihusu na umbea ndo unajaza thread nying....na mimi niko mafichoni pia,usijifiche gizani tu utajiumbua bora ujifiche kwenye mwanga
umenikumbushauzuri hapa hamna ngumi ahaaa we tamba tu mda wa lunch kula kulala
Kitonga nao ni mlima!kuna hiyo bugarama burundi36kms chiweta malawi
mkoa ni songea amaKitonga kitu gani. Pita Barabara ya Mbambabay to Liuli, kuna kona za Hatari Tz nzima Hakuna, kwa hiyo speed yako sasa hivi ungekuwa unaitwa hayati