Magna Carta
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 4,347
- 6,652
musiwe watu waongo,huyo mwenzako unamjua, kaumbuka sasahapana ndo mwanzo wa kuleteana mambo ya fb hii ni jf unaleta mada tunajadilim mambo mali ya mshua ama ya company m hainihusu na umbea ndo unajaza thread nying....
akiba ya maneno kazi kwenu na wewe upunguze mihemko kima kabisamusiwe watu waongo,huyo mwenzako unamjua, kaumbuka sasa
jiwe gizani mkuu sikutegemea mayoweEmbu tag iyo.thread ambayo mm nimesema nina kaampun..ttz nilishwakwambia unadandia vitu.iyo thread unayozungumzua hujaielewa ww kasome.vizur...
Ile thread nimezungumzia kisa kilichonitokea kitambo sana wakat bdo muajiriwa kampun flan iv...na ilitokea mda sana ..miaka 9sasa toka nimeacha ajira na kuanza kujiajir mkuu so kasome.vizur tena
im la haoakiba ya maneno kazi kwenu na wewe upunguze mihemko kima kabisa
nishaisoma sitaki kurudiaRudi kasome vizur maana hujaielewa mkuu.ile thread.
Achana nae uyo nishamwambia akosome vizur ile thread aielewe ndo aje.aongee.hapa ttz lake kule hajaelewa kadandia tuhapana ndo mwanzo wa kuleteana mambo ya fb hii ni jf unaleta mada tunajadilim mambo mali ya mshua ama ya company m hainihusu na umbea ndo unajaza thread nying....
kakulupuka ohhhh shitAchana nae uyo nishamwambia akosome vizur ile thread aielewe ndo aje.aongee.hapa ttz lake kule hajaelewa kadandia tu
naona mnafarijianakakulupuka ohhhh shit
Wakuu naandika uzi huu sasa niko njian to dar nikitokea njombe.nau niko moro hpa kwa mda kadhaa afu naanza safar kwenda dar..
Nilichotaka kusema nikwamba leo bhna..nimeweka record meshuka mlima kitonga kwa dakika 9naa..au 10 kbsa ....ila safar za usiki tamu sanasana
Hakuna longo longo.
Hahahaa mkuu mi wa kgm..kigoma bhn.lkn toka nianze safar zang mambo za kishirikina huwa nakutana nazo lkn kitonga cjawah aisee.ona lkn huku ruaha mbuyun..ndo.sana mara unaona mbuz or kondoo zinatembea kwa mbal ukizifjkia hamna kitu..Mkuu wewe noma, ni mtu wa Mbeya ama Rukwa? Unatembea Kitonga usiku bila kukutana na wataalam wa kuruka na ungo? Hongera sana, unatisha.
Hahahaa pole mkuu..ila kitonga sasa haitish km zaman so usiogope..ila la mikumi mbugan hataree yan..unaeza kutanaa na mitembo road tena makund na kupisha mpk yapende yenyewe bhn..afu wakat wa usiku wanyama wakali husogea barabaranUle mlima mi nauogopa siku nikipita pale kwa kuendesha nadhani nitafika juu au chini baada ya saa zima
Pale na Mikumi ndio pagumu maana huku simba