Nimeweka record leo mlima kitonga.

[emoji1] [emoji1] [emoji1] sawa mkuu ucjal
hoyaa ukirudi tena njombe msalimie sana legelege kwa kuwa wewe ni mtu wa magari lazima utakuwa unamfaham au ukifika gereji yoyote muulizie .ukimaliza tuu mlima wa polisi hapo kwa edina
 
hoyaa ukirudi tena njombe msalimie sana legelege kwa kuwa wewe ni mtu wa magari lazima utakuwa unamfaham au ukifika gereji yoyote muulizie .ukimaliza tuu mlima wa polisi hapo kwa edina
Sawa mkuu nimekupata na.hyo maeneo nayapata vizur sana.sema uyo mtu bdo cmfahamu..ni fundi magar
 
Sawa mkuu nimekupata na.hyo maeneo nayapata vizur sana.sema uyo mtu bdo cmfahamu..ni fundi magar
Hahahaha kama wewe ni mtu wa magari makubwa ukifika maeneo hayo ukimuulizia hata mtoto mdogo atakuonyesha au kukupeleka ofisini kwake ndio ni fundi na anaduka la spea pia.hapo madalali wote wanamfaham mwana
 
Hahahaha kama wewe ni mtu wa magari makubwa ukifika maeneo hayo ukimuulizia hata mtoto mdogo atakuonyesha au kukupeleka ofisini kwake ndio ni fundi na anaduka la spea pia.hapo madalali wote wanamfaham mwana
Aah sawa mkuu..mi sio wa magar makubwa mkuu ndo mana cjapata kumfaham vizur..lkn maeneo hyo.nayapata vizur kbsa
 
dereva huyo wa halmashauri huyo anapeleka vyeti kufanyiwa uhakiki NIT awahi kurudi huko halmashauri ya Sumbawanga kabla hakijanuka
buha ha aha ha ha ha,nimejikaza sana kucheka comments za huko juu ila hii imenibidi nibwatuke tu na kicheko kikubwa usiku huu,JF bana raha sana..
 
Mwezi ujao nataka nipandishe huo mlima na subaru forester
Mkuu mwaka 2012 Subaru ya burushi wa Soweto ilinipita kitonga nikiwa na Rav 4 kili time,nikasema ni helicopter imenipita au ni gari? Sipendi kuongozana na Forester. Kitonga kushuka ni dakika saba na kupandisha ni dakika tisa,ila zingatia usiwe muda wa kupishana au kuongozana na mabus
 
Hahahaa mkuu mi wa kgm..kigoma bhn.lkn toka nianze safar zang mambo za kishirikina huwa nakutana nazo lkn kitonga cjawah aisee.ona lkn huku ruaha mbuyun..ndo.sana mara unaona mbuz or kondoo zinatembea kwa mbal ukizifjkia hamna kitu..

Kumbe sikucheza mbali na uhalali wako.....Kigoma si ndiyo? Nyie Waha mnatisha kwa ushirikina jamani. Mambo mliyomfanyia Mze Mzindakaya mpaka akakimbia Kigoma si haba.
 

Usitudanganye hivyo jipange uongo ufanane na ukweli japo kiasi flani
 
Muda mzuri ni usiku pametulia lkn mchana aisee ni tabu cz magar meng
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…