Mwezi huu ajali zimepamba moto (Karatu, Mvomero, Muheza-Lusanga); chunga sana nafikiri afuataye ni mzembe mwingine kama wewe anayetamba kwa kusherehekea jambo baya. Jisahihishe!!Mkuu niko na gar ndogo toyota d4d top speed 200
Hahahaha kumbe wewe mkali hivyoNaona unacheza na maisha yako ingekuwa mim ndio wife nikagundua umefanya kitendo hatarishi kama hiki tena unajisifu kabisa alaaaaaaa
Ningekusubiria ufike home nakupokea na mijeledi ya hali ya juu maana huwez kucheza na maisha Wakati kuna familia inakuhitaji[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahaah mpole sana ila kwenye mambo kwamfano kama hili sipendi ujingaHahahaha kumbe wewe mkali hivyo
Nakuona nakuona hutaki masiharaHahahaah mpole sana ila kwenye mambo kwamfano kama hili sipendi ujinga
Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
Dah.... Wastani wa 60km/h [emoji13] [emoji15] ...... Labda kitonga ya Magomeni [emoji41] [emoji41]Wakuu naandika uzi huu sasa niko njian to dar nikitokea njombe.nau niko moro hpa kwa mda kadhaa afu naanza safar kwenda dar..
Nilichotaka kusema nikwamba leo bhna..nimeweka record meshuka mlima kitonga kwa dakika 9naa..au 10 kbsa ....ila safar za usiki tamu sanasana
Hakuna longo longo.
Mkuu nilishuka hapa wif ako alikuwa anataka tuonge kidogo so ikanilazim nipak kidogo ndo nikaona niandike kaa uzi haka..bt na nusu saa tu naamsha popo dar
Hahaaa mkuu kitonga nao umeuona mlima bhn,,ple laini kbsa...kuna milima bhn mfno mlima ndololo upo moro njian km unaenda mahenge au malinyi huko unahatar sana afu sasa hauna lami ni vumbi tu masika kuukatisha ni tabu..Dah.... Wastani wa 60km/h [emoji13] [emoji15] ...... Labda kitonga ya Magomeni [emoji41] [emoji41]
Sent from my Osborne II using JamiiForums Mobile App
Dah.... Kuna mlima chupisi ukiwa unatoka Utelela unaelekea Mandinda nao ni balaa dunia nzima[emoji41] [emoji41] [emoji87]Hahaaa mkuu kitonga nao umeuona mlima bhn,,ple laini kbsa...kuna milima bhn mfno mlima ndololo upo moro njian km unaenda mahenge au malinyi huko unahatar sana afu sasa hauna lami ni vumbi tu masika kuukatisha ni tabu..
Spendi sana mijitu miongoWakuu naandika uzi huu sasa niko njian to dar nikitokea njombe.nau niko moro hpa kwa mda kadhaa afu naanza safar kwenda dar..
Nilichotaka kusema nikwamba leo bhna..nimeweka record meshuka mlima kitonga kwa dakika 9naa..au 10 kbsa ....ila safar za usiki tamu sanasana
Hakuna longo longo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],,unàmatani yauchokoziNina wasiwasi, huenda tumbo la kuhara lilikukaba