Nimeweka vibration

Che Kalizozele

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2008
Posts
777
Reaction score
50
Kuna jamaa mmoja alikuwa ameenda msibani na alionekana ana uchungu sana kwani alikuwa akilia kwa sauti kubwa sana.Sasa baada ya muda kupita jamaa akawa halii tena,ikabidi jamaa mwingine amsogelee na kumuuliza imekuwaje ameaacha kulia!
Jamaa akamjibu,"no sijaacha kulia ila nimeweka vibration"

HAVE A LOVELY WEEKEND.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…