de pedezyee
Senior Member
- Jun 21, 2015
- 105
- 109
- Thread starter
-
- #21
Karibu sana mkuuDah, am so lucky. Ntakupigia ili unisaidie ujuzi wa kulima miti hiyo. Nina kama heka kumi hivi ziko Mang'ula. Nataka nianze na moja ili nipate uzoefu. Kwa sasa shamba hili nalima Mpunga tu.
Inawezekana pia, nitafute kwenye simu..Jambo zuri sana hili
vp kwa tuliopo mikoani unaweza kunitumia mbegu?
notedKaribu sana mkuu
Kama shamba linatumika kwa sasa, kwa mazingira ya huko baada ya kilimo cha mpunga hua ni kiangazi.. hivyo sio rahisi miti kuota labda uwe na chanzo cha umwagiliaji maana mitiki inahitaji maji ya kutosha..
Kama hakuna chanzo cha maji tofauti na mvua, ningekushauri upande kwenye mvua za vuli za November.
Karibu
Kuvunwa ni miaka 15-20, kutegemeana na eneo kwa maeneo mengine hata zaidi ya hapo,...Kazi nzuri. Je, inachukua miaka mingapi kuvunwa Mbao? Je, maeneo ya milimani inaweza ikasktawi? Soko lake likoje ?
KaribuSafi
mI NAHITAJI SHAMBA HUKO MANG'ULADah, am so lucky. Ntakupigia ili unisaidie ujuzi wa kulima miti hiyo. Nina kama heka kumi hivi ziko Mang'ula. Nataka nianze na moja ili nipate uzoefu. Kwa sasa shamba hili nalima Mpunga tu.
de pedezyee mimi nimelima mitiki kwa ajili ya kulinda shamba langu, kilimo cha kila mwaka kilikuwa kinaniumiza kichwa tu hivyo ili kulinda shamba kwa kizazi kijacho nikaamua kupanda hii miti. Ila ki ukweli sijui thamani yake zaidi ya kuambiwa maneno ya mtaani tu kuwa ina thamani kubwa.Habari wanajukwaa.
Katika miaka ya hivi karibuni nilianza kupanda miti ya mitiki (Grandit teaks) kwa fikra ya kuja kuuza mbao pekee, lakin kadri muda unavyokwenda nimejiona mwenye bahati baada ya kugundua fursa nyingi zinazopatikana kwenye kilimo cha mitiki/miti
Msitu wa mitiki nilionao pamoja na miti ya aina nyingne umenipa nafasi ya kutundika mizinga ya nyuki shamba lote.
Lakini pia sikuishia hapo nikaona kuna tofauti kati ya kutundika mizinga nyuki waje na kufuga nyuki.
Mimi niliamua kufuga nyuki kwa kuanzisha kilimo cha alizeti pembezoni mwa shamba la miti.
Pia nimechimba bwawa kubwa kwa ajili ya umwagiliaji lakini pia nyuki wapate maji..
Katika kipindi hiki ambacho ninasubiri mitiki ikue zaidi, imekua inaniingizia pesa nyingi kupitia mauzo ya asali na mafuta ya alizeti ambayo ninakamua mwenyewe..
Pia naendelea kuona fursa nyingi zikizidi kujitokeza kupitia kilimo hiki cha mitiki..
Ushauri
Kama unafikiri kuwekeza basi kilimo cha miti ni sehemu sahihi
Unaweza kunitafuta kwa ushauri, kubadilishana mawazo pia.
Kwa wahitaji miche ya mitiki ninasambaza kwa mikoa ya dar, pwani na morogoro kwa bei ya sh. 300@ mche, (pamoja na usafiri).
Call/text; 0766006128/0655715184
Watsap only 0683433440
Bei zinatofautiana kulingana na aina ya soko.. nikimaanisha kuna soko la ndani na soko la nje, mara nyingi mkulima anakua hapati faida kubwa kutokana na kuruhusu watu wa kati (madalali) kwenye biashara. Hiyo inapelekea dalali kupata pesa nyingi kuliko hata mkulima aliyeangaika nayo,de pedezyee mimi nimelima mitiki kwa ajili ya kulinda shamba langu, kilimo cha kila mwaka kilikuwa kinaniumiza kichwa tu hivyo ili kulinda shamba kwa kizazi kijacho nikaamua kupanda hii miti. Ila ki ukweli sijui thamani yake zaidi ya kuambiwa maneno ya mtaani tu kuwa ina thamani kubwa.
Mwenye figure za thamani hasa ya hii miti anasaidie au wapi naweza kupata taarifa sahihi. Miti ina miaka miwili, ukubwa wa shamba ni 10 eka.
de pedezyee nitashukuru ndugu, unaweza kuwa na mali ila hata thamani yake halisi hatujui. Ukirudi tena ni tag au ni quote ili nipate notification ya post yako.Bei zinatofautiana kulingana na aina ya soko.. nikimaanisha kuna soko la ndani na soko la nje, mara nyingi mkulima anakua hapati faida kubwa kutokana na kuruhusu watu wa kati (madalali) kwenye biashara. Hiyo inapelekea dalali kupata pesa nyingi kuliko hata mkulima aliyeangaika nayo,
Nitarudi kukupa mchanganuo wa bei za mitiki kwa kiwango cha juu na kiwango cha chini, lakini pia namna ya kufanya ili uuze kwa bei sahihi
Atakuwa sahihi kwani bei ya miche maeneo mengi ya tz ina range 250-300Mkuu i hope hapo mwisho bei ulitaka kumaanisha @3000 na sio 300, sivyo?
Kwenye soko la mitiki hakuna bodi ya kucontrol bei, hivyo bei inakua ni makubaliano ya muuzaji na mnunuzi kwa kipindi kilichopo,de pedezyee nitashukuru ndugu, unaweza kuwa na mali ila hata thamani yake halisi hatujui. Ukirudi tena ni tag au ni quote ili nipate notification ya post yako.
Inavunwa baada ya miaka 15 had 20, mchanganuo wa bei pitia post za juu kwenye uzi huuMitiki unavuna baada ya muda gani... kuna maeneo mazuri ya kununua uko ili kuuilima... bei inaendaje kwa heka.. Faida baada ya kuitunza kwa heka unaeza pata shilingi ngapi...? asante boss
Ndugu hakuna usiri wala aibu ya kuweka bei wazi hapa kama una connection, mbona bei ya miche umeweka hapa, kama unajua bei ya soko pia weka kusaidia wengi zaidi.Kwenye soko la mitiki hakuna bodi ya kucontrol bei, hivyo bei inakua ni makubaliano ya muuzaji na mnunuzi kwa kipindi kilichopo,
Kwa sasa kama una shamba lenye miti iliyokomaa kwa kuuzwa unaweza kutumia namba zangu hapo juu nikakuinganisha na wanunuzi moja kwa moja
Hapana mkuu mimi ninahusika na miche tu, sio mnunuzi wa mitiki, ila baada ya kuulizwa na watu wengi ikabidi nifatilie..Ndugu hakuna usiri wala aibu ya kuweka bei wazi hapa kama una connection, mbona bei ya miche umeweka hapa, kama unajua bei ya soko pia weka kusaidia wengi zaidi.