Nimeyakanyaga mwezenu nimekutana na mke wa mtu katika harakati za kutaka kutogoza mumeo kasikia yote!

Nimeyakanyaga mwezenu nimekutana na mke wa mtu katika harakati za kutaka kutogoza mumeo kasikia yote!

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Niliharibikiwa na gari tokea mchana Kijiji kimoja karibu na Makambako huku Nyanda za juu Kusini.

Sasa ndugu zangu, eneo nililopata hiyo breakdown lipo Duka kubwa na mara ya kwanza nilipoenda kununua kinywaji nikahudumiwa na binti mmoja mkali! Kama kawaida ya sisi wa ki-ume, nikameza mate ndugu yenu.

Kisa; nimerejea kwa mara ya pili kununua super glue na ndipo nilipomuuliza kama yupo huru ili nigombee Jimbo. Binti kajibu yupo kwenye mahusiano japokuwa siyo ki vilee.

Bwana bwana, kumbe binti yule ni mke wa jamaa mwenye hilo Duka na wakati ana nijibu hilo swali, Mwamba kumbe alikuwa Store na alisikia. Hatari!

Ghafla nikaona mtu anamfuata yule binti kwa ghadhabu iliyo kuu na kuanza kumpiga makofi ya nguvu. Nami nikachoropoka mle ndani.

Sasa, gari imeharibika jirani na Duka, na jamaa namuona tokea muda akiranda-randa na anatambua mimi ndiye mwenye hiyo gari.

Nifanyeje ndugu zanguni?!
 
Mwambie mwenyekiti wako wa ccm akusaidie mana anaupiga mwingi
 
Niliharibikiwa na gari tokea mchana Kijiji kimoja karibu na Makambako huku Nyanda za juu Kusini.

Sasa ndugu zangu, eneo nililopata hiyo breakdown lipo Duka kubwa na mara ya kwanza nilipoenda kununua kinywaji nikahudumiwa na binti mmoja mkali! Kama kawaida ya sisi wa ki-ume, nikameza mate ndugu yenu.

Kisa; nimerejea kwa mara ya pili kununua super glue na ndipo nilipomuuliza kama yupo huru ili nigombee Jimbo. Binti kajibu yupo kwenye mahusiano japokuwa siyo ki vilee.

Bwana bwana, kumbe binti yule ni mke wa jamaa mwenye hilo Duka na wakati ana nijibu hilo swali, Mwamba kumbe alikuwa Store na alisikia. Hatari!

Ghafla nikaona mtu anamfuata yule binti kwa ghadhabu iliyo kuu na kuanzia kumpiga makofi ya nguvu. Nami nikachoropoka mle ndani.

Sasa, gari imeharibika jirani na Duka, na jamaa namuona tokea muda akiranda-randa na anatambua mimi ndiye mwenye hiyo gari.

Nifanyeje ndugu zanguni?!
Wajulishe CCM wakusaidie.....
 
1000017386.jpg
 
Niliharibikiwa na gari tokea mchana Kijiji kimoja karibu na Makambako huku Nyanda za juu Kusini.

Sasa ndugu zangu, eneo nililopata hiyo breakdown lipo Duka kubwa na mara ya kwanza nilipoenda kununua kinywaji nikahudumiwa na binti mmoja mkali! Kama kawaida ya sisi wa ki-ume, nikameza mate ndugu yenu.

Kisa; nimerejea kwa mara ya pili kununua super glue na ndipo nilipomuuliza kama yupo huru ili nigombee Jimbo. Binti kajibu yupo kwenye mahusiano japokuwa siyo ki vilee.

Bwana bwana, kumbe binti yule ni mke wa jamaa mwenye hilo Duka na wakati ana nijibu hilo swali, Mwamba kumbe alikuwa Store na alisikia. Hatari!

Ghafla nikaona mtu anamfuata yule binti kwa ghadhabu iliyo kuu na kuanzia kumpiga makofi ya nguvu. Nami nikachoropoka mle ndani.

Sasa, gari imeharibika jirani na Duka, na jamaa namuona tokea muda akiranda-randa na anatambua mimi ndiye mwenye hiyo gari.

Nifanyeje ndugu zanguni?!
kamuombe radhi
 
Niliharibikiwa na gari tokea mchana Kijiji kimoja karibu na Makambako huku Nyanda za juu Kusini.

Sasa ndugu zangu, eneo nililopata hiyo breakdown lipo Duka kubwa na mara ya kwanza nilipoenda kununua kinywaji nikahudumiwa na binti mmoja mkali! Kama kawaida ya sisi wa ki-ume, nikameza mate ndugu yenu.

Kisa; nimerejea kwa mara ya pili kununua super glue na ndipo nilipomuuliza kama yupo huru ili nigombee Jimbo. Binti kajibu yupo kwenye mahusiano japokuwa siyo ki vilee.

Bwana bwana, kumbe binti yule ni mke wa jamaa mwenye hilo Duka na wakati ana nijibu hilo swali, Mwamba kumbe alikuwa Store na alisikia. Hatari!

Ghafla nikaona mtu anamfuata yule binti kwa ghadhabu iliyo kuu na kuanzia kumpiga makofi ya nguvu. Nami nikachoropoka mle ndani.

Sasa, gari imeharibika jirani na Duka, na jamaa namuona tokea muda akiranda-randa na anatambua mimi ndiye mwenye hiyo gari.

Nifanyeje ndugu zanguni?!
Mumeo?
 
Niliharibikiwa na gari tokea mchana Kijiji kimoja karibu na Makambako huku Nyanda za juu Kusini.

Sasa ndugu zangu, eneo nililopata hiyo breakdown lipo Duka kubwa na mara ya kwanza nilipoenda kununua kinywaji nikahudumiwa na binti mmoja mkali! Kama kawaida ya sisi wa ki-ume, nikameza mate ndugu yenu.

Kisa; nimerejea kwa mara ya pili kununua super glue na ndipo nilipomuuliza kama yupo huru ili nigombee Jimbo. Binti kajibu yupo kwenye mahusiano japokuwa siyo ki vilee.

Bwana bwana, kumbe binti yule ni mke wa jamaa mwenye hilo Duka na wakati ana nijibu hilo swali, Mwamba kumbe alikuwa Store na alisikia. Hatari!

Ghafla nikaona mtu anamfuata yule binti kwa ghadhabu iliyo kuu na kuanza kumpiga makofi ya nguvu. Nami nikachoropoka mle ndani.

Sasa, gari imeharibika jirani na Duka, na jamaa namuona tokea muda akiranda-randa na anatambua mimi ndiye mwenye hiyo gari.

Nifanyeje ndugu zanguni?!
Muuzie Hilo scraper!
 
Niliharibikiwa na gari tokea mchana Kijiji kimoja karibu na Makambako huku Nyanda za juu Kusini.

Sasa ndugu zangu, eneo nililopata hiyo breakdown lipo Duka kubwa na mara ya kwanza nilipoenda kununua kinywaji nikahudumiwa na binti mmoja mkali! Kama kawaida ya sisi wa ki-ume, nikameza mate ndugu yenu.

Kisa; nimerejea kwa mara ya pili kununua super glue na ndipo nilipomuuliza kama yupo huru ili nigombee Jimbo. Binti kajibu yupo kwenye mahusiano japokuwa siyo ki vilee.

Bwana bwana, kumbe binti yule ni mke wa jamaa mwenye hilo Duka na wakati ana nijibu hilo swali, Mwamba kumbe alikuwa Store na alisikia. Hatari!

Ghafla nikaona mtu anamfuata yule binti kwa ghadhabu iliyo kuu na kuanza kumpiga makofi ya nguvu. Nami nikachoropoka mle ndani.

Sasa, gari imeharibika jirani na Duka, na jamaa namuona tokea muda akiranda-randa na anatambua mimi ndiye mwenye hiyo gari.

Nifanyeje ndugu zanguni?!
tafuta nyumba kumi amalize KESI hiyo au uliza dingi mwanasheshi mjanja eneo hilo wapo wengi amwite myamalize punguza umaya
 
Back
Top Bottom