Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆😆We jamaa umeanza kwa mabavu ila ulivyomalizia sasa hahaha!Kwan una kosa gan mpak ukimbie? Kumuuliza mtu kama ana mtu ni kosa?
Anyway, kimbia mgahawa jirani nunua kabisa mlenda wa vuguvugu
Wewe ile siku niliomba unifundishe ile kitu namna ya kutumia ukaniambia niiulize google sio….. Likewise Manyanza.
Kitu umekosa ni akili.Niliharibikiwa na gari tokea mchana Kijiji kimoja karibu na Makambako huku Nyanda za juu Kusini.
Sasa ndugu zangu, eneo nililopata hiyo breakdown lipo Duka kubwa na mara ya kwanza nilipoenda kununua kinywaji nikahudumiwa na binti mmoja mkali! Kama kawaida ya sisi wa ki-ume, nikameza mate ndugu yenu.
Kisa; nimerejea kwa mara ya pili kununua super glue na ndipo nilipomuuliza kama yupo huru ili nigombee Jimbo. Binti kajibu yupo kwenye mahusiano japokuwa siyo ki vilee.
Bwana bwana, kumbe binti yule ni mke wa jamaa mwenye hilo Duka na wakati ana nijibu hilo swali, Mwamba kumbe alikuwa Store na alisikia. Hatari!
Ghafla nikaona mtu anamfuata yule binti kwa ghadhabu iliyo kuu na kuanza kumpiga makofi ya nguvu. Nami nikachoropoka mle ndani.
Sasa, gari imeharibika jirani na Duka, na jamaa namuona tokea muda akiranda-randa na anatambua mimi ndiye mwenye hiyo gari.
Nifanyeje ndugu zanguni?!
Jamani ulivyo mkaleee hivi unashindwa kutumia kweli ? 🤣🤣🤣Wewe ile siku niliomba unifundishe ile kitu namna ya kutumia ukaniambia niiulize google sio….. Likewise Manyanza.
Hahahah haya asante kwa kunimiss😂
Usiogope mkabili kwani vipi bhana demu si kasema mahusiano hayako kivile ASA uogope nn Mkuu nenda shughulikia gari ila uwe tyr kwa loloteNiliharibikiwa na gari tokea mchana Kijiji kimoja karibu na Makambako huku Nyanda za juu Kusini.
Sasa ndugu zangu, eneo nililopata hiyo breakdown lipo Duka kubwa na mara ya kwanza nilipoenda kununua kinywaji nikahudumiwa na binti mmoja mkali! Kama kawaida ya sisi wa ki-ume, nikameza mate ndugu yenu.
Kisa; nimerejea kwa mara ya pili kununua super glue na ndipo nilipomuuliza kama yupo huru ili nigombee Jimbo. Binti kajibu yupo kwenye mahusiano japokuwa siyo ki vilee.
Bwana bwana, kumbe binti yule ni mke wa jamaa mwenye hilo Duka na wakati ana nijibu hilo swali, Mwamba kumbe alikuwa Store na alisikia. Hatari!
Ghafla nikaona mtu anamfuata yule binti kwa ghadhabu iliyo kuu na kuanza kumpiga makofi ya nguvu. Nami nikachoropoka mle ndani.
Sasa, gari imeharibika jirani na Duka, na jamaa namuona tokea muda akiranda-randa na anatambua mimi ndiye mwenye hiyo gari.
Nifanyeje ndugu zanguni?!
😃😃😃😃RIP
Kimbia hapo uta RIP, Mwachie gari fundi akimaliza kutengeneza akuletee
Radhi ya nn kwan Kala mzigokamuombe radhi
Kutingoza mke wa mtu na mumewe kasikia na kumuona,kiustaarabu omba radhiRadhi ya nn kwan Kala mzigo
😂😅😅😆😆😆😆We jamaa umeanza kwa mabavu ila ulivyomalizia sasa hahaha!