Kuna msimu yanga kila mechi walikuwa na jezi yake yaani mpaka msimu unaisha haijulikani jezi rasmi ni ipi,na sio mbali ni kama miaka mitatu au minne tu hivi,simba tukawafundisha ustaarabu.
Ghafla designer wao akaja na madera ,wanazi wakayatetea ila rohoni ilikuwa inachoma.
Nakumbuka yule mchezaji wao mpemba Calinyos alitinga moja akiwa chumbani na wema sepetu
Uto kwenye jezi mambo yanachekesha sana
Ghafla designer wao akaja na madera ,wanazi wakayatetea ila rohoni ilikuwa inachoma.
Nakumbuka yule mchezaji wao mpemba Calinyos alitinga moja akiwa chumbani na wema sepetu
Uto kwenye jezi mambo yanachekesha sana