financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Hahaaaa, Kwani huyo wa 3 atakua anakula debe la unga mkuu.Mta save vipi cost wakati kuna mwingine wa 3 atakuja baada ya miezi 9
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaa, Kwani huyo wa 3 atakua anakula debe la unga mkuu.Mta save vipi cost wakati kuna mwingine wa 3 atakuja baada ya miezi 9
Mimi pia nimeyumba,naomba nije mimi kama mleta uzi hataki.. [emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3] wazee wa kuchangamkia fursa, utaweza sasa kula ugali na kachumbari mkuu?[emoji3]Mimi pia nimeyumba,naomba nije mimi kama mleta uzi hataki.. [emoji3][emoji3]
Unaishi mwenyewe mama?Mi nipo Mbeya nimepanga nyumba nzima 150,000. Manake kwa siku 5,000
[emoji3][emoji3] Mkuu nipo tayari hata kwa chumvi[emoji3][emoji3] wazee wa kuchangamkia fursa, utaweza sasa kula ugali na kachumbari mkuu?[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji34] [emoji16] [emoji16]Hizo hesabu za mwezi kawapa nani?
Mmekazana kuzidisha utadhani hiyo hela mmenipa. Hela iliyopo inatosha siku 3 au nne. Sasa nyie mmekaza 4,000 x 30. Utadhani hiyo hela mmenipa.
Nenda kwa mfuga mbwa manzese na unaweza kupata na mke pia.Kichwa cha uzi kiko wazi!
Nimepata teteleko la kimaisha upande wa uchumi. Naombeni mnitajie Nyumba za kulala wageni kwa pesa kiasi cha shilingi elfu nne au chini ya hapo kwa hapa Dar!
Asanteni!
Mwenye kibarua naomba tuwasiliane pia.