Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoa ya huyo dada ikivunjika baada mume wake kujua utajisikiaje?
Yani unapanda kwenye shamba la watu halafu unataka kuvuna mazao.. Utakuja kukojoa dagaa shauri yako...!!
~~Kitakachokupa ushindi ni juhudi zako~~
Kisheria hebu elezea kiundaniiKwanza umetembea na mke wa mtu, hilo ni kosa kwa wote wa wawili kitamaduni na kisheria.
Pili, umezaa na mkewa tuhilo ni kosa la kimaadili, tamaduni na kisheria.
Tatu, unatafuta uhalaliwa mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa ya mke wa mtu, hilo ni pingamizi kisheria.
Nne, menaendeleza uhusiano na mazoea na mke wa mtu juu ya yote yaliyotokea bila kujali uharamu wa matendo mliyofanya na mwanamke wa ndoa ya mtu mwingine, hiki ni kielelezo zaidi cha kujiingiza kwenye hatari kubwa kutokana na makosa mliyotangulia kufanya awali.
Tano,
Hiyo haitoshi, siku hizi kuna mpaka vipimo vya DNAJina lako lipo kwenye cheti?
Kama halipo kafe mbele
Ukipanda mazao kwenye shamba la bwana Kheri mazao yale ni ya nani?
Do me a favor ..drop deadOmba sana huyo mme wa huyo mwanamke afe hamna namna [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hii ya mtoto kulilia jina hua ni kweli?hamna k2,
naombeni mwongozo wa kisheria,
kuna wakati mtt, alilia jina mpaka mamaake akanitafta,
nikatoa jina,
sasa huyu si wa kwangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaonekana kumdharau mwenye mke,ila wengi wamekuonya Kwa maisha yako,mke na mtoto,ukishupaza shingo ni wewe lakini usisahau kumpa ujumbe mwanafamilia mmojawapo aje aage kwa niaba yako ili account yako iandikwe R.I.Pla kuongeza ni kwamba huyu mtt alisumbua San utoton,
na kusababisha mamaake kunitafta bila kutaka na hivyo suluhisho kupatkan,
hasa ikihusisha mambo ya kiiman,
kama kulilia jina,
nk.
binafsi nahic mtt alinijulish alipo nami jukum langu ni kumfatilia nikamtoe huko alipo na kumuweka sehem sahh.
vp jaman,
Sent using Jamii Forums mobile app