Nimezaa na Mwanamke kutoka familia ya washirikina, najitoaje?

Mchawi hakimbiwi kiivo, solution ni ibada na kuivunja hiyo madhabahu iliyoingilia familia yake kwa maombi na sadaka maalumu..kila kitu kitakuwa sawa.
 
Unachotakiwa kufanya ni kuivunja hiyo madhabahu kwa maombi na sadaka otherwise utamkimbia na kuendelea kuishi kama ndege coz mchawi hakimbiwi hata uende wapi atakudaka tu.
 
Siwez ongea au shauri lolote kuhusu ushirikina kwakuwa siwezi kujua ulijuaje kwamba ni washirikina lakini pia wanajme siku hizi wamejaa nongwa sana hasa linapokuja swala la ndoa. mrangi hapa ngoja niwe ndugu msomaji.
 
Kama familia ni lazima mufanye ibada pamoja nawewe jikite zaidi katika maombi hakuna mchawi anayemuweza mtu anayemuomba Mungu
 
Japo Mapenzi ni ya wawili, ila ndugu nao Wana nafasi yao. Kama hupatani na familia, ni swala la muda tu, hata yeye hutopatana nae
 

Wanakuja, mimi kama naamini ni mchawi ningeanza mkakati wa kuachana bila kuangalia mazara
 
Chukua watoto wako wakiume hao wakike mpe kama zawad , kwan watakuja kuwa wachaw wabadae
 
Staili ya zamani sana ya kuacha hiyo [emoji23][emoji23][emoji23] siku hizi hawaachwi hivyo
Zamani ilikuwa rahisi kwasababu walikuwa wanatoka mikoani mbali na maisha yalikuwa magumu mno hawana nauli ya kurudi hadi utume wewe
 
Wanandoa njooni huku mwenzenu kakwama.

Pole sana Bro, mimi ninachoweza kushauri ni kuvunja iyo ndoa na kuendelea na maisha mengine.

Pole kwa maswahibu Mkuu
 
Huyooooo ni chaguo lakooooo,chaguo lakoooo..hata kama ni mchawiii chaguo lakooooo[emoji445][emoji445][emoji445][emoji445]
 
The road to hell is paved
 
Mkuu unatumiaje Tibaa ya chumvi?
Nijibu hili Kwanza Kama namm ninapitia Hali inayoendana na hiyo nmejenga bila kujua mtaa ambao unawashirikina balaa
Akijibu nitag mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…