acha kuwatuhumu warabu bure,kwa desturi za waarabu na kwa sheria ya dini ya kiislam nidhambi kubwa aliotenda huyudada nashemejiyake,dada alitakiwa atulie kwamumewe nakama ameona hapatiwatoto angeamua moja kuomba talaka au kuvumilia ale mapesa akose watoto,wametenda dhambi kubwa.Dah!Kitendo ulichokifanya hakikubaliki ktk jamii za kiafrika,au hao waarabu walipanga wote wakudinye ndio maana jamaa akamuachia nyumba mdogo wake ili mchakachuanè vzuri, wakati unatoa 2nda wala hukuomba ushauri leo kijiti kimekukatikia mara 2 ndio uje kuomba ushauri?
Hii sredi inapaswa kuchangiwa na jinsia iliyokuwa na siku yake ya kimataifa hapo juzi.
Sisi wenye siku 364 kwa mwaka hatutakiwi hapa!
Kinu anaendeleza sherehe kwa kutuletea hadith hadith........
Hivi babu lakini.. hivi unajua kuwa Keren_Happuch amekumiso??!!!
shosti apeleke kwa mashetani wenzake u-turn u-turn ipi hiyo? Au yapale mwanza kwenye ile stori yakufikirika kuwa kuna jini linajiuza eti ni changudoa?au umekusudia u-turn ipi?weye ni zaidi ya shetani,peleka kwa mashetani wenzako U-turn watakusaidia cha kufanya maana hata sisi tuso na dini umetuzidi mizungu:hand:
MR nawe unaunga mkono vitu kama hivi ???Shemeji shemejiii usiku mwazima taaa...
Shemeji kula kaka hayupo akirudi sitamwambia!!!
Mwaya we chuna tu mbona midume inazaa nje ya ndoa inatuficha wake zao :decision::decision::decision:
Najua thana. tatizo huyu Keren Hajui kuwa babu ammemisi zaidi yake.
Keren hata kule mtaa wa pili haonekani. Damn!
Kinu, hebu tuthibitishie hili, hawa watoto 6 aliwapata vipi? Vyenginevyo hapa kumtanda giza. Pengine mume wako anajijua hali yake na anapenda kusaidiwa kazi, kwake yeye "mtoto" ni mtoto tu" na kwake hakuna mwengine wa kumsaidia kama ndugu yake.Majimshindo na uporoto mmesahau kuwa kuna watu huwa wanapata matatizo yanayopelekea ashindwe kuzaa.
Inawezekana hao watoto aliwapata kabla tatizo halijamkumba.
shosti apeleke kwa mashetani wenzake u-turn u-turn ipi hiyo? Au yapale mwanza kwenye ile stori yakufikirika kuwa kuna jini linajiuza eti ni changudoa?au umekusudia u-turn ipi?
Tatizo lako Kinu ulikuwa unataka yote, mtoto na mihela ya mwarabu. Ungechagua moja. Kama ulikuwa na shida ya mtoto, kwa nini usiombe talaka kabla ya kufanya uafiriti huu? Kama ulijua kuwa unachofanya ni sahihi, "kwa nini usimwombe ruhusa mume wako akuruhusu kuchakachuliwa?" Tena na ndugu yake?hii ni habari ya kweli labisa na jamaa zangu nawaomba msinihukumu sana haya mambo yanatokea tu,mimi ninataka mtoto ningefanyaje sasa
Kweli we kinu