Nimezima East Africa Radio, kuna jamaa anasema Manara ndiye aliyeifanya Simba SC kuwa kubwa

Nimezima East Africa Radio, kuna jamaa anasema Manara ndiye aliyeifanya Simba SC kuwa kubwa

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Nimezima na redio kabisa kuna jamaa anasema manara ndiye aliyeifanya simba kuwa kubwa na kwa sasa hamna kitu sababu mashabiki wengi wamemfata utopoloni.

Hivi ile sheria ya kuwa na chetti kwa hawa watangazaji inaanza lini jamani

Kipindi kinaitwa kipenga xtra zengwe, kama walevi vile
 
Kwamba ukubwa wa simba upo katika kuingiza mashabiki uwanjani ama mi ndo sielewi? Ukubwa wa Simba ambao wengi leo hii wanausema ni mafanikio yake kufika hatua ya robo fainali za CAF champions league. Na kama ndo hii basi mchango wa Manara huwezi kusema ni mkubwa kiasi kwamba bila yeye Simba isingefika pale.

Ukubwa wa timu unatizamwa kuangalia namba ya wanachama active, miundombinu, vikombe na ranking ya timu katika taasisi za kimichezo, kutaja kwa uchache. Sasa katika hivi vigezo ni wapi Manara wanataka tumuweke labda? Maana sioni direct impact yake katika haya niliyotaja
 
Watangazaji wengi wa hivi viredio fm uawajielewi labda ufm wanajitahidi kubalance Mambo. Kama manara ameipa umaarufu Simba kwanini asiende kuipa umaarufu kmc au mtibwa. Manara baada ya kuondolewa ukatibu uenezi wa ccm hakuna aliyemfatilia mpaka akaja Simba jiulize zile perfume zake alizozindua ziliishia wapi.
 
Watangazaji wengi wa hivi viredio fm uawajielewi labda ufm wanajitahidi kubalance Mambo. Kama manara ameipa umaarufu Simba kwanini asiende kuipa umaarufu kmc au mtibwa. Manara baada ya kuondolewa ukatibu uenezi wa ccm hakuna aliyemfatilia mpaka akaja Simba jiulize zile perfume zake alizozindua ziliishia wapi.
Alitapeli milioni 36 za wale jamaa wenye pafyumu huyu mtu alifikia hatua akasema wasanii wamemuambia hawataenda simba day kisa yeye hayupo sijui huwa anajiona nani ila kidogokidogo keshaanza kuona ukweli maana anaishi kwenye fantasy world
 
Tukiachana na chuki pamoja na roho za kisokolokwinyo, Haji Manara amefanya kazi kubwa kabisa ktk kuhamasisha watu wengi zaidi kulipenda soka na timu ya simba kwa ujumla

Alisifiwa sana alipokuwepo simba SC kwa Slogan zake za Do or Die, War in Dar and others

Mpira wa kitanzania ni wa hamasa, tofauti na hapo huwezi kuona Impact ya mashabiki kwa timu yenu

Tukitaka tusimuone Manara kama Shujaa kwenye mpira wetu wa kitanzania basi hatuna namna kuachana na Hamasa ktk mpira ila hilo ni gumu sana kutokana Nature ya mashabiki wa kibongo.

Ila naiona tuzo ikienda kwa Bongo zozo

NB:"Vya Kaisari tumpe Kaisari"
 
Tukiachana na chuki pamoja na roho za kisokolokwinyo, Haji Manara amefanya kazi kubwa kabisa ktk kuhamasisha watu wengi zaidi kulipenda soka na timu ya simba kwa ujumla

Alisifiwa sana alipokuwepo simba SC kwa Slogan zake za Do or Die, War in Dar and others

Mpira wa kitanzania ni wa hamasa, tofauti na hapo huwezi kuona Impact ya mashabiki kwa timu yenu

Tukitaka tusimuone Manara kama Shujaa kwenye mpira wetu wa kitanzania basi hatuna namna kuachana na Hamasa ktk mpira ila hilo ni gumu sana kutokana Nature ya mashabiki wa kibongo.

Ila naiona tuzo ikienda kwa Bongo zozo

NB:"Vya Kaisari tumpe Kaisari"
Ndiyo maana tulisema data za kujaza uwanja ni za uongo kama kweli tuzo ni ya nugaz kama issue ni taifa stars mechi ngapi za stars watu walikuwa hawajai na huyo manara yuko kwenye kamati ya hamasa ya stars
 
Ndiyo maana tulisema data za kujaza uwanja ni za uongo kama kweli tuzo ni ya nugaz kama issue ni taifa stars mechi ngapi za stars watu walikuwa hawajai na huyo manara yuko kwenye kamati ya hamasa ya stars
Naomba press ya Haji Manara ametoka Kuongelea kuhusu Slogan za hamasa kwa Taifa Stars
 
Naomba press ya Haji Manara ametoka Kuongelea kuhusu Slogan za hamasa kwa Taifa Stars
Alisahau tu kuweka slogan kwenye zile pafyumu huo ushawishi wa yeye kuhamisha maelfu ya watu toka simba kwenda utopolo ulishinidkanika kwenye pafyumu iliyokuwa na jina lake?
Sasa alikuwa anafanya kazi gani kwenye hiyo kamati ya uhamasihaji wa taifa stars kama alishindwa kujaza uwanja ? maana mnatuaminisha bila yeye simba washabiki hawendi uwanjani wala kuipenda team yao, this is pathetic
 
Alisahau tu kuweka slogan kwenye zile pafyumu huo ushawishi wa yeye kuhamisha maelfu ya watu toka simba kwenda utopolo ulishinidkanika kwenye pafyumu iliyokuwa na jina lake?
Sasa alikuwa anafanya kazi gani kwenye hiyo kamati ya uhamasihaji wa taifa stars kama alishindwa kujaza uwanja ? maana mnatuaminisha bila yeye simba washabiki hawendi uwanjani wala kuipenda team yao, this is pathetic
Aya sawa
 
Kuna conflict of interest na maoni yako au unataka kurudi kufanya kazi pale? Mtangazaji mzima unaamini simba imepoteza maelfu ya mashabiki sababu ya lile lopolopo?
Ni wapi nimesema naamini hayo uliyosema kwamba Simba imepoteza maelfu ya mashabiki?! Mkuu usinilishe maneno, After all, kwani nikitaka kurudi kuna tatizo lolote?!
 
Ni wapi nimesema naamini hayo uliyosema kwamba Simba imepoteza maelfu ya mashabiki?! Mkuu usinilishe maneno, After all, kwani nikitaka kurudi kuna tatizo lolote?!
namaanisha huyo mtangazaji unayemtetea ndiye aliyesema, we rudi tu hakuna tatizo tena utakuwa umesaidia kurudisha uweledi kwenye ile station maana enzi zenu ilikuwa na hadhi siyo ujinga ulioko siku hizi na kwa bahati mbaya na wewe inatetea upuuzi wao
 
Watangazaji wengi wa hivi viredio fm uawajielewi labda ufm wanajitahidi kubalance Mambo. Kama manara ameipa umaarufu Simba kwanini asiende kuipa umaarufu kmc au mtibwa. Manara baada ya kuondolewa ukatibu uenezi wa ccm hakuna aliyemfatilia mpaka akaja Simba jiulize zile perfume zake alizozindua ziliishia wapi.
KmC mbali, mbona huko aliko hajaifanya kama simba? Yaani waende robo fainal club bingwa.
 
Mm sjui Tanzania tuna shida gan yan ET mpaka Leo mpira wetu unaendeshwa kiswahili yan ET watu wenye akili zao kabisa Unakuta wanakwambia manara ndiye aliyefanya simba Iwe Kubwa sjui huwa wanatumiwa na manara yan wachambuz n uswahil tu watangazaj n uswahil tu
 
Hyo radio kutwa nzima kampeni za pedi tu? Oneni haya basi
 
Tasnia ya habari hapa bongo kama kuna wakina Zembwela na Baba Levo basi usihofu kuhusu kusikia mataputapu redioni.
 
Back
Top Bottom