Nimezongwa na kushikwa, shikwa pale The Great park! Nitafungua mashtaka kudai bilioni moja!

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuuu umetsha
 
Hahahahaha ucjal kafungue kesi then tawi la Chadema TLS chini ya Lissu watakupa mawakali 50 wakiongozwa na kibatala
 
Na kama tu kidole tu mlevi mmoja kimeingia mahala kule kwenye joto na unyevu nyevu dai bilioni kumi vepe iyo ilitokea??
 
Waswahili wenzangu tunapaita pale ze griti, haha siku nyingine utucheki wazawa ili usipate shida hiyoo..
 
Hapo wewe umevolunt non fit injuria... Usipoelewa uje tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…