Dah poleni sana vijana. Kwani mkiwawashia moto za uso itakuwaje? Kuna kazi ni kipaji, nahisi ningekuwa navaa bukta ofisini niitwe mwalimu ngedere sasa.
mkuu kuna taratibu za kufanya unapotaka kwenda kujiendeleza,si kila ukipata nafasi lazima uruhusiwe kwenda shule,lazima uwe umetimiza mashart yanayotakiwa!je ulifuata taratibu na masharti husika!!ulikaa kituoni kwa muda gani na ulithibitishwa kazini kabla ya kuondoka na vitu kama hivyo!jaribu kuweka taratibu ulizofuata tuone iwapo una haki au una lazimisha haki iwe upande wako!Nitaenda bagamoyo nionane nao
Ninefanya kazi toka2008-2011,ilikua zamu yangu kwenda kusoma nikahamishwa na wakati chuo nliomba,,...:.Na ruhusa nlikua nayo,,....2015Mungu saidia ifike....::Wabillah Tawfiq
Kabla sijakushauri chochote naomba nikuulize swali, Je barua ya kuruhusiwa kwenda kusoma na mwajiri unayo? kama unayo hiyo ni defence kubwa kwako, na haki zako zote utapatiwa kwenye vyombo vya sheria, kama huna kuwa mpole tu. maana utachukulika ulitoroka kazi na unaweza kufukuzwa pia.DEO Alikua na bifu na mimi mana kuna siku nilienda ofisini kwake akafoka na ni kua kosa silijui,,..Kama kuna mwanajf anaweza kunisaidia kutatua tatizo mana nilifanya kazi porini na Headmaster kachangia mana kuna mwanamke alihisi namchukua kumbe la...