BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,950
- 11,295
Mnamo mwaka 2008nilianza kazi Bagamoyo-Matipwili,nikafanya kazi hadi 2011,nikaomba ruhusa kwenda kusoma,,DEO Alipojua nilzamu yangu kwenda kusoma akanihamisha na mi chuo nilipata,,,,...:na akaniambai hatuwezi kukuruhusu,.::::nikaondoka....Wameziba fedha