Nimezunguka bar kubwa zote za mkoa wa Dar wananchi wanafurahiya maisha sana

Nimezunguka bar kubwa zote za mkoa wa Dar wananchi wanafurahiya maisha sana

lendila

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2012
Posts
5,806
Reaction score
4,370
Nimezunguka bar kubwa zote za mkoa wa dar wananchi wanakula raha sio mchezo. Nimeanzia maeneo ya banana Ukonga
Tabata mbezi bichi mikocheni na kinondoni kwa kweli wananchi wanafuraiya maisha.

Huu mwaka wananchi wanafurahiya kufunga kwao mwaka kwa amani sana.

Wanashangilia uhuru wa taifa lao.

Wananchi wanafunga mwaka kwa shangwe la nguvu sio kawaida.

Arusha moshi na mwanza huko kwenu vipi?

Ukisikia kufunguka kwa uchumi kwa sekta binafsi ndio huku sasa
 
Mkuu rudi shule ujifunze kuandika vizuri kwanza.

Je mwaka jana ulitembelea hizo bar ukakuta zimefungwa ama watu waliopo wanakunywa huku wanalia kwa kukosa furaha?

Hii nchi imejaa mandezi kama hawa ndio maana hatuendelei.
Mkuu mwaka jana sitatembelea hivi viwanja ni mwaka huu tu
 
Mkuu rudi shule ujifunze kuandika vizuri kwanza.

Je mwaka jana ulitembelea hizo bar ukakuta zimefungwa ama watu waliopo wanakunywa huku wanalia kwa kukosa furaha?

Hii nchi imejaa mandezi kama hawa ndio maana hatuendelei.
Kipindi Cha jpm tulikuwa tunakunywa huku hatuna furaha kwa sababu hela zilikuwa hazipo, watu wasiojulikana na viongozi wa hovyo Kama akina makonda na sabaya wanawatishia watu kuwafilisi
 
Kipindi Cha jpm tulikuwa tunakunywa huku hatuna furaha kwa sababu hela zilikuwa hazipo, watu wasiojulikana na viongozi wa hovyo Kama akina makonda na sabaya wanawatishia watu kuwafilisi
Tukubali tukatae kipindi hiki uchumi umeanza kufunguka
 
Pia matumaini yamefufuka ingawa sio kwa kiwango cha kuridhisha
 
Pia matumaini yamefufuka ingawa sio kwa kiwango cha kuridhisha
Mwambie mama anaenda vyema ila aache kutumia ikulu kufanyia vikao vya ccm yeye ni rais ww hata watu wa cuf
 
Zimebaki siku chache sana tumalize mwaka
 
Nimezunguka bar kubwa zote za mkoa wa dar wananchi wanakula raha sio mchezo
Nimeanzia maeneo ya banana ukonga
Tabata mbezi bichi mikocheni na kinondoni kwa kweli wananchi wanafuraiya maisha
Huu mwaka wananchi wanafurahiya kufunga kwao mwaka kwa amani sana
Wanashangilia uhuru wa taifa lao
Wananchi wanafunga mwaka kwa shangwe la nguvu sio kawaida
Arusha moshi na mwanza huko kwenu vipi?
Ukisikia kufunguka kwa uchumi kwa sekta binafsi ndio huku sasa
Wewe kama siyo kichaa basi umerogwa
 
Mkuu rudi shule ujifunze kuandika vizuri kwanza.

Je mwaka jana ulitembelea hizo bar ukakuta zimefungwa ama watu waliopo wanakunywa huku wanalia kwa kukosa furaha?

Hii nchi imejaa mandezi kama hawa ndio maana hatuendelei.
Yeye kashiba maana kazi yake ndiyo hiyo ya kumsifia anaye muwezesha kupata mkate wake wa kila siku.
 
Back
Top Bottom