Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Atakaye muelewa huyu ni mlevi mwenzakeIla alichokiandika kimeeleweka na hata wewe umekielewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakaye muelewa huyu ni mlevi mwenzakeIla alichokiandika kimeeleweka na hata wewe umekielewa
Hili Jina limenikumbusha mbali sana.. Sinza then Mbezi Beach..Zimebaki siku chache sana tumalize mwaka
Itakuwa msaada wa pesa za coronahaha vijana bana , ushapewa posho ?
Acha uongo. Mama anatukanwa matusi kibao tena wananchi wanamchukia sana kwa sababu ya umeme na maji, yaani kwa ufupi serikali iliyopo inachukiwa kinoma kama enzi za JKNimezunguka bar kubwa zote za mkoa wa dar wananchi wanakula raha sio mchezo
Nimeanzia maeneo ya banana ukonga
Tabata mbezi bichi mikocheni na kinondoni kwa kweli wananchi wanafuraiya maisha
Huu mwaka wananchi wanafurahiya kufunga kwao mwaka kwa amani sana
Wanashangilia uhuru wa taifa lao
Wananchi wanafunga mwaka kwa shangwe la nguvu sio kawaida
Arusha moshi na mwanza huko kwenu vipi?
Ukisikia kufunguka kwa uchumi kwa sekta binafsi ndio huku sasa