Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Ona ona sasa yaliyonikuta kwa Dada yake Bashiri pale nilipomtongoza kwa mara ya pili ona sasa ahaa"Ona sasa dah! [emoji16][emoji16][emoji16]
Na amwite Charles Mwijage aje kuzindua ili kumuenzi Magufuli.Mnunulie cherehani nne afungue kiwanda chake
Acha vitishoUshawahi kurogwa Kama hujawahi hii itakuwa mara yako ya kwanza
Nakushauri jiweke mbali kabisa
Akizingua tu huyo "love at first sight" mi nimooo! [emoji123][emoji123][emoji123][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]Hahahahah sijui nimecheka nini hapa
Awe menu sii ndiyo...Wewe Kama wataka kumla mle tu..mengine hayatuhusu.
Ndiyooo ..aache kulembaAwe menu sii ndiyo...
Kama navyoremba mimi...Ndiyooo ..aache kulemba
Haha..Kwani we unaremba Kama mtoa mada..!!..hurembi banaKama navyoremba mimi...
Kwa hiyo unaniruhusu nimalize...Haha..Kwani we unaremba Kama mtoa mada..!!..hurembi bana
Huitaji ruhusaa...Ni wewe tu kuchukua kijiko ujilie..Kwa hiyo unaniruhusu nimalize...