Nimfanyaje huyu dada

Sikubaliani na AINE: Hasa sehemu hii ya kutaka kujua "Anakaa wapi, ndugu zake nani, marafiki zake nani.." Naona havihusu chochote. Kama unataka kumfahamu huyu dada spend nae muda utamfahamu tu bila kumhukumu kwa sababu ya ndugu zake, marafiki zake, anakoishi nk. Hayo ni mambo ya kizamani AINE. Samahani kama nimekukwaza, Ni mawazo tu
 
Sioni tatizo kwa huyu dada,wewe ndo mwenye matatizo, n its gud umekuwa honest kwamba unafurahia. Its up 2 u. Coz ukiendelea na huo ukimya mambo yanaweza kuharibika, ni bora uchukue hatua.
 
Unajua imeniwia ngumu kukupa ushauri sahihi kwa sababu hujaweka wazi kama una mchumba au mke. Lakini pamoja na hayo usiwe na haraka na huyo mwanadada, wewe jenga mahusiano ya kawaida yasiyo ya kimapenzi nakuhakikishia utagungua vitu vingi ambavyo vitakupa fursa ya kuamua kama huyo dada ni saizi yako au ndiyo magumashi!!!!! Pia kama umeoa nakushauri achana na huyo demu inawezekana akawa kesha kupigia hesabu tayari kuwa utamtoa mpaka level fulani sasa ukichanganya na majukumu ya kifamilia utalost ndugu yangu.
 
Kama unaye mke please mpotezee huyo. Ukijifanya KIBOLO DINDA utaona kila siku wapo wanawake wengi sana wa aina hiyo.

Lume bana, haya maneno yameniacha hoi!! eti Kibolo Dinda... hahahahaha du , iko kazi!!
 
Noted. Hii nimeipenda. asante.
 
Umeoa ? una mchumba ? ama uko single looking?????????????

Thanks firstlady1, to be honest sijaoa na sina mchumba. ila sitafuti sana. Swali lako linaonyesha unakitu cha kunishauri kama nikijibu hayo uliyo uliza. Haya nipe ushauri wako!!!!!
 
Omba mchezo tafuna halafu pima uelekeo,amua
 
anakupenda kusema ndiyo hawezi si wanaume wote utakaemwambia live kuwa unampenda akakuelewa so kuwa nae karib km kweli unampenda mpe nafasi utamuelewa zaidi nia yake. ila pia kua nae makini.
 
na huyo mdada pia anafikiri wewe unammind kwa kujipeleka peleka hapo kwenye ka ofisi kila mara bila shuhuli ya msingi . Kwa ufupi wazembe wawili mmekutana. Tabu tupu

hapana klorokwin ,usipitwe na wakati ,yeye hajasema anaenda pale akiwa hana la kufanya ,kumbuka amesema kuna service pale....au unajuaje hyu kaka labda ni mweupe kama nadharia zako zilivyo! Be positive au kwa sababu hutibu malaria!
 
Dogo vp ww? kula v2 kumbuka ndoms tu, shauri yako uikumbuka..
 
hapana klorokwin ,usipitwe na wakati ,yeye hajasema anaenda pale akiwa hana la kufanya ,kumbuka amesema kuna service pale....au unajuaje hyu kaka labda ni mweupe kama nadharia zako zilivyo! Be positive au kwa sababu hutibu malaria!

haaaa!!! samahani mbvu zangu hazinitoshi.
 
anakupenda kusema ndiyo hawezi si wanaume wote utakaemwambia live kuwa unampenda akakuelewa so kuwa nae karib km kweli unampenda mpe nafasi utamuelewa zaidi nia yake. ila pia kua nae makini.

Umesema kweli lakini, kuingia rahisi kazi kutoka.
 
Kijana Siyo ajabu yuko kazini anaattract customers sasa akikununia utasemaje? Kama hujaoa na hajaolewa make your case known to her.
 
Kijana Siyo ajabu yuko kazini anaattract customers sasa akikununia utasemaje? Kama hujaoa na hajaolewa make your case known to her.
.
Ila unalo sema ni kweli. sometimes napita mitaani dada amepanga paket 2 za karanga eti anauza hadi sa 4 usiku. Nafikiri huwa wanakuwa na bishara nyingine ila for the new customers wataulizia karanga na kuuzuiwa karanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…