Sharobaro la jf
JF-Expert Member
- Apr 23, 2020
- 237
- 325
Wakuu kuna mwanamke nimeachana naye tuna mwezi sasa na tuliachana kwa kukata mawasiliano tu kutokana na tabia yake aliyokuwa ananifanyia, sasa jana kanitumia sms kuwa amenimiss sana.
Naombeni ushauri nifanyaje?
Naombeni ushauri nifanyaje?