Exactly,nimekugongea thanks hii ingekuwa kule jokes ni part 2 ya ile joke 'kwanini unawasha sigara dukani kwangu', 'ni kwasababu nimenunua hapa', 'kuna watu wananunua condom lakini huwaoni wakidin**na hapa'MIMI:Jirani salama lkn? Nilikuona ukitokea hospital vipi unaumwa au? Akanijibu.
JIRANI:mie mwenyewe nimekuona unatokea makaburini kwani umekufa au?
Mkuu samahani sana lakini hii hadithi inanipa mashaka kidogo. Si mara ya kwanza kulisikia kauli hii; sikumbuki wapi lakini ina"sound" kama "joke" vile.
Sijakuelewa!Exactly,nimekugongea thanks hii ingekuwa kule jokes ni part 2 ya ile joke 'kwanini unawasha sigara dukani kwangu', 'ni kwasababu nimenunua hapa', 'kuna watu wananunua condom lakini huwaoni wakidin**na hapa'
Hii joke uloweka na hii niloweka ni part 1 na part 2 kwenye Daily Jokes, funny stories, rude funny poems and dirty limericks, funny quotes, Random Humor, Top Ten Lists -- all at Jokes2Go.com -- the daily new humor siteSijakuelewa!
Kama ni joke bac huyu jirani inawezekana anaijua ndio maana akanijibu ku*ya kwasababu huko makaburini anakosema kaniona binafsi sijawahi kwenda,lakini binafsi nilimuuliza hili swali kwa nia njema na hilo ndilo jbu alonipa.nitaitembelea hii site maana kwenye hii cell yangu inakataa,kama itakuwepo huko bac atakuwa kanijibu kijoke na mie cntomkasirikia nitajua anatania.Hii joke uloweka na hii niloweka ni part 1 na part 2 kwenye Daily Jokes, funny stories, rude funny poems and dirty limericks, funny quotes, Random Humor, Top Ten Lists -- all at Jokes2Go.com -- the daily new humor site
Wanajamv, heshima mbele kama tai. Jamani naomba kuuliza hv kumjua hali jirani yako ni umbea au? maana cc kidini tunatakiwa tuwapende majirani zetu kama tunavyojipenda na bado Twanga pepeta wakaimba nyimbo kuhusu jirani. Sasa mie nilikohamia sasa nimezungukwa na ngozi nyeupe tupu,lkn kama kawa cwabagui naishi nao vzuri lkn leo nimepigwa na butwaa baada ya kumsalimia mmoja kati ya majirani zangu nikabahatika kumuuliza hv: MIMI:Jirani salama lkn? Nilikuona ukitokea hospital vipi unaumwa au? Akanijibu. JIRANI:mie mwenyewe nimekuona unatokea makaburini kwani umekufa au? Kwa kweli ckumjibu ila iliniuma sana mpaka nikajiuliza Jamani nimemkosea nn huyu jamaa au kwasababu mie ni Black?
Nishapoa ndugu yangupole sana huo ndo ubepari, ubinafsi mbele hakuna kujuana
Wanajamv, heshima mbele kama tai. Jamani naomba kuuliza hv kumjua hali jirani yako ni umbea au? maana cc kidini tunatakiwa tuwapende majirani zetu kama tunavyojipenda na bado Twanga pepeta wakaimba nyimbo kuhusu jirani. Sasa mie nilikohamia sasa nimezungukwa na ngozi nyeupe tupu,lkn kama kawa cwabagui naishi nao vzuri lkn leo nimepigwa na butwaa baada ya kumsalimia mmoja kati ya majirani zangu nikabahatika kumuuliza hv: MIMI:Jirani salama lkn? Nilikuona ukitokea hospital vipi unaumwa au? Akanijibu. JIRANI:mie mwenyewe nimekuona unatokea makaburini kwani umekufa au? Kwa kweli ckumjibu ila iliniuma sana mpaka nikajiuliza Jamani nimemkosea nn huyu jamaa au kwasababu mie ni Black?
Hamna shaka nitakuwa naishi nao kimya kimyauache uswahili na wewe, mie nina mwaka hapa nilipohamia sijawahi hata kumuona jamaa anayeishi kwenye nyumba ya pili achilia mbali kusalimiana, hawa ngozi nyeupe ndivyo walivyo si kwa blacks hata wenyewe kwa wenyewe huwa hawana mazoea ya ajabu ajabu kisa ujirani!
Nashukuru kwa kunialert nitamuogopa kama ukomamaybe ndio ujifunze,baadhi ya wazungu,leo anacheka na wewe vizuri,kesho anakuona huna maana tena kwake.siku nyengine usimzoee sana
Ilitakiwa nifanyeje?[/QUOTE]
Kama nilikufahamu, unaishi pahala palipo na ngozi nyeupe (warabu?, wahindi? wazungu?). Kila moja kati ya watu hawa wana tamaduni tafauti na zetu sisi ngozi nyeusi. Siwezi kusema lolote kuhusu warabu na wahindi lakini kwa kadiri ninavyowaelewa wazungu kidogo ni kuwa, ikiwa bado hamna mazowea ya hali ya juu kabisa kiasi cha kujenga urafiki na uaminifu baina yenu, hawapendi kuulizwa maswali binafsi ya maisha yao (kama hili ulilouliza wewe), imani zao (kama dini), hali zao (kama ndoa) n.k.
Mzungu atakushangaa sana kumwuliza "wewe wa dini gani" "umeoa/umeolewa", hata vitu vidogo sana kama "mbona uko kimya, unawaza nini?". Kwa ngozi nyeusi kama unavyoita wewe ni mambo ya kawaida lakini kwa mzungu haimngii akilini. Unamwuliza dini yake, unataka nini? akiwa tafauti na yako umbague? Unamwuliza kaoa/kaolewa, unataka nini, kumwoa/akuoe wewe?
Kwa ufupi, (t)ungepaswa na (t)unapaswa (t)uwe (m)waangalifu juu ya maswali (t)unayomwuliza mtu hasa ikiwa sio wale ambao
(t)unaaminiana sana.
Nimeweka umojana wingi kwani ni suala linalotuhusu sote.
Ni wazungu,nashukuru kwa kunifahamisha nitauchukua ushauri wakoIlitakiwa nifanyeje?[/QUOTE]
Kama nilikufahamu, unaishi pahala palipo na ngozi nyeupe (warabu?, wahindi? wazungu?). Kila moja kati ya watu hawa wana tamaduni tafauti na zetu sisi ngozi nyeusi. Siwezi kusema lolote kuhusu warabu na wahindi lakini kwa kadiri ninavyowaelewa wazungu kidogo ni kuwa, ikiwa bado hamna mazowea ya hali ya juu kabisa kiasi cha kujenga urafiki na uaminifu baina yenu, hawapendi kuulizwa maswali binafsi ya maisha yao (kama hili ulilouliza wewe), imani zao (kama dini), hali zao (kama ndoa) n.k.
Mzungu atakushangaa sana kumwuliza "wewe wa dini gani" "umeoa/umeolewa", hata vitu vidogo sana kama "mbona uko kimya, unawaza nini?". Kwa ngozi nyeusi kama unavyoita wewe ni mambo ya kawaida lakini kwa mzungu haimngii akilini. Unamwuliza dini yake, unataka nini? akiwa tafauti na yako umbague? Unamwuliza kaoa/kaolewa, unataka nini, kumwoa/akuoe wewe?
Kwa ufupi, (t)ungepaswa na (t)unapaswa (t)uwe (m)waangalifu juu ya maswali (t)unayomwuliza mtu hasa ikiwa sio wale ambao
(t)unaaminiana sana.
Nimeweka umojana wingi kwani ni suala linalotuhusu sote.
Hamna shaka nitakuwa nawasalimia tu na kuachana naoKwa kweli swali lako halikukaa vizuri. Maana wewe ulikuwa judgemental. Kama alivyosema Mammamia, kuna sababu nyingi za kwenda hospitali. Anaweza kuwa ni mfanyakazi wa huko, anweza alienda kumtembela rafiki yake anayefanya kazi hospitalini, anaweza kuwa alienda kumwona mgonjwa nk. Nadhani wewe ulipomsalimia na kukwambia hajambo ilitosha. Yanini kuchokonoa chokonoa, labda kama angekuwa ndugu yako wa karibu.
huko ulikohamia ni kila mtu na hamsini zake ndugu yangu Kama unashida ya salam ni Hello/hi, kwa ufupi hataki perepere nyingi tofauti na kule ulikotokea