Nimfanye nn shemeji yangu huyu?

nashukuru kwa michango yenu wakuu.nimekubali makosa na My wife wangu kanielewa ila shughuli ilikuwa pevu kwa kweli,namshukuru Mungu yamekwisha na shemeji yangu nimempa nauli akapuzike kwao kwanza.
 
nashukuru kwa michango yenu wakuu.nimekubali makosa na My wife wangu kanielewa ila shughuli ilikuwa pevu kwa kweli,namshukuru Mungu yamekwisha na shemeji yangu nimempa nauli akapuzike kwao kwanza.

Hapo kwenye rangi ya damu:

Umalaya bado unakusumbua. Umemwondosha huyo shemeji yako kwa sababu unadhani huyo ndio kikwazo katika ufuska wako. Kumbuka si lazima shemejiyo ndiye awe anakufumania siku zote. Umemwondoa yeye lakini ufuska wako utabainika kwa njia nyingine na hapo ndipo utagundua tatizo si shemeji yako bali ni wewe na huo ufuska wako.
 
shem wako anamjali dada yake (HIV,heshima nk), ni sahihi alichofanya
badili tabia yako
 
Maliza kesi kwanza halafu mtafute huyo shemeji usiku wa giza umpe vichwa kadhaa na za mbavu kwa sana tu,ni mmbea angeongea na wewe kwanza.
 
nashukuru kwa michango yenu wakuu.nimekubali makosa na My wife wangu kanielewa ila shughuli ilikuwa pevu kwa kweli,namshukuru Mungu yamekwisha na shemeji yangu nimempa nauli akapuzike kwao kwanza.

umefanya la mbolea sana unandai bazoka,yaani umfuge na mdomo wazi kama 7-ELEVEN
 
Atakuvunja mbavu mwenzio, anakupiga na mito tena? pole mkuu :coffee:
 
Nashukuru kwa ushauri wako
 
Yaani umeoa dada ake na huyo shemeji nae anakaa kwako unamlisha, analala anaamuka anakula ugali wako.

Basi na yeye umuoe kwa nini anakuwa na wivu?

Kama vp mtimue hapo si kwako, mfulumishe na umwambie kabisa mkeo kuwa huyu shemeji ni tatizo.
Nimeshampa mtaa teyari
 
Nimekubali makosa na amekubali kunisamehe
 
Anashindwa kutumia silaha kubwa sababu nadhani bado hana uhakika wa hili swala ni kweli au la
 

Na wanawake tunavyosamehe haraka sijui ataficha wapi uso wake na umbea wake, wanaume huwa wanauchuna tu hata kama kamuona baba yake huwa hawaendi kusema kwa mama
 
ningekuwa mimi ndiohuyo shemeji yako kihasira ningekupiga picha kwenye cmu kabisa,
eeboo! huruziki na hiyo ........ ya mkeo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…