Nimfanye nn shemeji yangu huyu?

Nimfanye nn shemeji yangu huyu?

nashukuru kwa michango yenu wakuu.nimekubali makosa na My wife wangu kanielewa ila shughuli ilikuwa pevu kwa kweli,namshukuru Mungu yamekwisha na shemeji yangu nimempa nauli akapuzike kwao kwanza.
 
nashukuru kwa michango yenu wakuu.nimekubali makosa na My wife wangu kanielewa ila shughuli ilikuwa pevu kwa kweli,namshukuru Mungu yamekwisha na shemeji yangu nimempa nauli akapuzike kwao kwanza.

Hapo kwenye rangi ya damu:

Umalaya bado unakusumbua. Umemwondosha huyo shemeji yako kwa sababu unadhani huyo ndio kikwazo katika ufuska wako. Kumbuka si lazima shemejiyo ndiye awe anakufumania siku zote. Umemwondoa yeye lakini ufuska wako utabainika kwa njia nyingine na hapo ndipo utagundua tatizo si shemeji yako bali ni wewe na huo ufuska wako.
 
shem wako anamjali dada yake (HIV,heshima nk), ni sahihi alichofanya
badili tabia yako
 
Maliza kesi kwanza halafu mtafute huyo shemeji usiku wa giza umpe vichwa kadhaa na za mbavu kwa sana tu,ni mmbea angeongea na wewe kwanza.
 
nashukuru kwa michango yenu wakuu.nimekubali makosa na My wife wangu kanielewa ila shughuli ilikuwa pevu kwa kweli,namshukuru Mungu yamekwisha na shemeji yangu nimempa nauli akapuzike kwao kwanza.

umefanya la mbolea sana unandai bazoka,yaani umfuge na mdomo wazi kama 7-ELEVEN
 
Habari zenu wanajamvi natumaini ni wazima wa afya. Jamani leo yamenikuta mwenzenu nikiwa namuaga kwa d*nda zito My nyumba ndogo wangu shemeji yangu wa kiume akaniona na kuniambia ya kuwa sio vizuri ninachokifanya na kuondoka zake na kwenda kumuambia dada yake ya kuwa ameniona,bac kidume kufika nyumbani nikakutana na kesi,mie nikakataa kuwa hakuniona na wala cna demu nje,ikabidi aitwe na kuulizwa anakubali kaniona na mie nakataa ya kuwa hakuniona na wala ckufanya hiyo kitu,mpaka sasa sijalala napigiwa kelele natishwa,nafinywa,napigwa na mito yaani vurugu humu ndani amani ishaanza kutoweka na My wife wangu kawa mkali ajabu. Je? Nimfanyeje shemeji yangu huyu.
Atakuvunja mbavu mwenzio, anakupiga na mito tena? pole mkuu :coffee:
 
there is nothing you can do zaidi ya kumvuta chamber siku moja na kumwambia hivi vitu vipo tu, halafu mtoto wa kiume kama yeye huo ni umbea ambao unaweza kumdhuru hata huyo dada yake

ila mkuu ukishakubali kuoa stick with what u have!! hizo nyumba ndogo achana nazo man hamna kipya huko nje unakoenda
Nashukuru kwa ushauri wako
 
Yaani umeoa dada ake na huyo shemeji nae anakaa kwako unamlisha, analala anaamuka anakula ugali wako.

Basi na yeye umuoe kwa nini anakuwa na wivu?

Kama vp mtimue hapo si kwako, mfulumishe na umwambie kabisa mkeo kuwa huyu shemeji ni tatizo.
Nimeshampa mtaa teyari
 
Shemeji alifanya makosa kwenda kumweleza dadake japokuwa inauma kuona tukio kama hilo
alipaswa kumshirikisha huyo bwana na kumshauri kubadili tabia
we mwanaume umeoa unafanya mambo kama hayo hadaharani kwa kumtambia nani
zaidi ya kujidhalilisha
kaa chini tafakari kwa makini utambue kosa lako
itakuwa rahisi kuelewa namna ya kumwomba mkeo msamaha
usipotambua kosa lako itakuwa vigumu kuomba msamaha
Ulimchagua kuwa mkeo mwenyewe ukasema huyu ndie ninaye mpenda mpe heshima yake
Nimekubali makosa na amekubali kunisamehe
 
Huyo mke wako anakupenda kweli. Kosa lote hilo bado unapigwa mito na kufinywa? Mwengine angelikupiga panga na kufyeka fimbo yote. Mwombe radhi mkewako na uhakikishe hurudii tena. Siku hizi imekuwa sifa kwa wanaume kwenda nyumba ndogo na baadaye bila aibu tunajisifu hadharani. Enzi za mababu wetu, wewe kama mtoto wao wangekutandika viboka hadharani hata kama una miaka 50. Tubadilike vijana. Mwanamume sio kifimbo tu bali kuwa na heshima katika ndoa
Anashindwa kutumia silaha kubwa sababu nadhani bado hana uhakika wa hili swala ni kweli au la
 
Mie najiweka pembeni kabisa, kweli umekosa lakini huyo shemeji yako nae mmmhhh ana kiherehere kwani dada yake hayajui hayo siku zote?? Hata kama umekosa angekufata akwambie nyie wote wanaume manatakiwa kuzungumza kiume sasa yeye mbio kwa dada YATAMSHINDA na huo ni umbea hata kama anasema kweli inahuuuuu????? Mambo ya ndoa za watu waachie wenyewe kha???? Dume zima mdomo waaa hana haya huyo mtoto wa mama nini??? Mwanaume anakuwa hana siri hata kama ni mbaya kiasi gani???

Na wanawake tunavyosamehe haraka sijui ataficha wapi uso wake na umbea wake, wanaume huwa wanauchuna tu hata kama kamuona baba yake huwa hawaendi kusema kwa mama
 
ningekuwa mimi ndiohuyo shemeji yako kihasira ningekupiga picha kwenye cmu kabisa,
eeboo! huruziki na hiyo ........ ya mkeo?
 
Back
Top Bottom