<br />Nina mpenzi wangu ambaye kanizidi mwaka mmoja tuu, ila kila cku analia na umri wangu kuwa mimi ni mdogo kwake, embu niambie jamani nimfanyeje cause anataka kuniacha, mimi ni kijana wa miaka 27, yeye ana miaka 28, ni hayo tuu.
achana nae
halafu kachkue jimama la kuanzia 50 hivi
halafu uwe unatesa nalo live
wazi wazi hivi
ili akome kujishaua .....
<br />achana nae<br />
halafu kachkue jimama la kuanzia 50 hivi<br />
halafu uwe unatesa nalo live<br />
wazi wazi hivi<br />
ili akome kujishaua .....
<br />jaribu kufuatilia ushauri uliopewa hapo juu na pia mweleze kuwa umri si kikwazo katika maisha ya sasa na mwambie abadilike <br />
ukiona hakuelewi ujue huyo hajakupenda kwa dhati.
Nina mpenzi wangu ambaye kanizidi mwaka mmoja tuu, ila kila cku analia na umri wangu kuwa mimi ni mdogo kwake, embu niambie jamani nimfanyeje cause anataka kuniacha, mimi ni kijana wa miaka 27, yeye ana miaka 28, ni hayo tuu.
Aaah msikute jamaa ana mambo ya kitoto sana anambore
<br />akichukua more older ndo atakuwa sasa lol<br />
<br />
watamkomaza lol
<br />achana nae<br />
halafu kachkue jimama la kuanzia 50 hivi<br />
halafu uwe unatesa nalo live<br />
wazi wazi hivi<br />
ili akome kujishaua .....
kadri muda una zidi kwenda ndio wanavyozidi kuachana,....anyway akomae kiume na kama ni muoga asepe,...si unajua siku hizi kila ki2 kigeu geu<br />
<br />
"Watakomazana"
<br />May be jamaa ana mambo mengi ya kitoto so mwenzake anaona bora akatafute wa age yake au mdogo kwake ambaye wataendeleza hayo mambo ya utoto