Ndo kuvumiliana huko mkuu....BTW sex inachukua muda gani katika maisha yenu?? Kama hayo matusi yanakufanya usikojoe hapo sawa, unaweza kuongea nae tho najua hivyo vitu ni auto sijui kama ataweza kuji control na kufurahia at the same time!!mkuu mimi sio muumini mapenzi ya kibubu (silent sex) ila pia sio muumini wa maneno ya matusi
Mshamba huyo,
Hajui hayo matusi ndio yanaongeza stimu ya mizagamuo
Mkuu ni tusi hili tu ndio anatukana, au kuna mengine?mkuu Neno "Mse...ge wewe" huwa linatumika sana na mengine mengi yanayoshabihiana na hayo vipi una sha kunishauri?
Nakaziaπ...ayataje huenda hata sio matusiMatusi gani elezea zaidi tukushauri mkuu
kijana wa hovyooπππNinacho mkuu lakini ili nijiridhishe vzr ningepata walau voice
Kwani una ndoto za kuoa au kutafuna.mkuu Neno "Mse...ge wewe" huwa linatumika sana na mengine mengi yanayoshabihiana na hayo vipi una sha kunishauri?
huyu mwanamke ana matatizo ila changamoto nikimwambia tu ntakosa utelezi na hapa mjini mimi mgeni bado siwezi kuparamia kila mwanamkeMkuu ni tusi hili tu ndio anatukana, au kuna mengine?
Jaribu kuweka matusi 2 au 3 anayotukana ili tu connect dots tujue kama ni kawaida au kunatatizo mahali...
Apo penyewe ushapala [emoji817]huyu mwanamke ana matatizo ila changamoto nikimwambia tu ntakosa utelezi na hapa mjini mimi mgeni bado siwezi kuparamia kila mwanamke
We si mwanamke wewe namba ya mwanamke mwenzako upeleke wapi tena?Tupe namba yake sie tunapenda hayo matusi
Hao ni type ya wale wanawake watukanaji wenye mdomo mchafu hata bangi si ajabu anatupia,huyo ni muhuni hata vijiwe vya wahuni amekaa.Umenifungua mkuu nimehisi hicho kitu hapa hakuna mwanamke
Mimi nilidhani ni mchumba kumbe mpenzi, mpenzi hana mwenyewe na hata wazazi wake au wako hawamjui ,huyo ni kumwambia tu ondoka au labda nawe umenogewa na matusi mkuu, unahofua usije yamiss. Mpenzi ni chips funga kaka! wala huhitaji uulize hapa eti umfanyeje!Baada ya kuhamishiwa mkoani dar kikazi siku moja nikiwa kwenye gari yangu nikavutiwa na binti mmoja kituoni alipokuwa amesimama nikampa lift kuanzia hapo tukazoeana na mwisho akapajua home napokaa.
Sasa nipo naye hapa napokaa wiki inaenda ya tano hivi yaani ni pika pakua but anafanya kazi huko town ila katika kukaa naye nimegundua tabia moja inanikera mno yaani tukiwa tunafanya mapenzi akiwa ameshakolea na kukaribia kufika kileleni anatukana matusi mengi kweli na kunipiga makofi na vurugu zinakuwa nyingi sasa tukimaliza tendo akili yangu inakuwa inakumbuka yale matusi yake yananifanya nikose pozi la kumwambia ukweli kuwa sipendi hii tabia.
Kinachonifanya nisimwambie ukweli huyu binti ni mtu mwenye kariba ya kupaniki na kununa hasa ukimwambia kitu cha kweli kinachokukwaza.
Wakurungwa nimfanyeje huyu binti ana miaka 25 ni pisi kali kweli kweli ila nashindwa kumwelewa akiwa kawaida sijawahi kumsikia akitukana hata kama tunagombana ila likishafika suala la kufanya mapenzi utamu ukimkolea na kama anafika kileleni basi matusi yaanaanza kama mvua ya mawe mpaka afike ndio anakuwa sawa anaacha kutukana.
Je hili ni tatizo la kawaida au ni mapepo aliyonayo? nimfurushe
alikuwa mwanachama wa porn pornyBaada ya kuhamishiwa mkoani dar kikazi siku moja nikiwa kwenye gari yangu nikavutiwa na binti mmoja kituoni alipokuwa amesimama nikampa lift kuanzia hapo tukazoeana na mwisho akapajua home napokaa.
Sasa nipo naye hapa napokaa wiki inaenda ya tano hivi yaani ni pika pakua but anafanya kazi huko town ila katika kukaa naye nimegundua tabia moja inanikera mno yaani tukiwa tunafanya mapenzi akiwa ameshakolea na kukaribia kufika kileleni anatukana matusi mengi kweli na kunipiga makofi na vurugu zinakuwa nyingi sasa tukimaliza tendo akili yangu inakuwa inakumbuka yale matusi yake yananifanya nikose pozi la kumwambia ukweli kuwa sipendi hii tabia.
Kinachonifanya nisimwambie ukweli huyu binti ni mtu mwenye kariba ya kupaniki na kununa hasa ukimwambia kitu cha kweli kinachokukwaza.
Wakurungwa nimfanyeje huyu binti ana miaka 25 ni pisi kali kweli kweli ila nashindwa kumwelewa akiwa kawaida sijawahi kumsikia akitukana hata kama tunagombana ila likishafika suala la kufanya mapenzi utamu ukimkolea na kama anafika kileleni basi matusi yaanaanza kama mvua ya mawe mpaka afike ndio anakuwa sawa anaacha kutukana.
Je hili ni tatizo la kawaida au ni mapepo aliyonayo? nimfurushe