Nimfanyeje mpenzi wangu aache kutukana matusi tukiwa katikakati ya tendo?

Ngoja tumuulize mzabzab anasemaje kuhusu hili!!!!
 
Hao ndio wazuri wanafaa kwa tendo; changamoto labda iwe ni makazi uliopo, kama privacy ipo, hakuna shidwa; muhimu kila mmoja alewe kwa kilevi chake
 
Kwanza nianze kwa kukupa pongezi kwa kuweza mfikisha kibo mpenzi wako.

Pili, watu wa daslam hatupendi tuitwe mkoani, ukija huku sema umekuja jijin daslam ,nyie wa Mwanza na mikoa mingine ndio tunawaita wa mikoan
 
Anapenda kuangalia ponograph huyo, anafanya anayoyaona huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…