mfuga kuku
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 824
- 650
Ndio maana ukaitwa pimbi. Kama hatukani kwenye mambo mengine anatukana kwenye shughuli wewe tatizo lako liko wapi hapo? Maana yake unamnogesha anapagawa mpaka anajikuta anatukana. Sasa wewe eti unamtazama tofauti hata yeye anaweza kukushangaamkuu mimi nikisikia binti au mwanamke anatukana napata shida sana kumwelewa namtazama tofauti sana napata shida naye
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duh! umenikumbusha mchepuko wangu nae ana tabia zenye kufanana! kila nnapozagamua natukaniwa mama yangu, napigwa makofi ya mbavuni na kuna muda anataka kuning'ata ila namdhibiti kwa nguvu! Duh wanaume Mateso.
we ndo mtamuuWe ngoja akutane na wakurugwa wanaopenda matusi ataambiwa akutukane wewe au hata baba yake ili nimkojoleshe. Nilikua napiga mama mmoja akikolea atamtukana mumewe nikiona kazidisha sana matusi nampiga denda mpaka akojoe
Hapo hauko peke yako au hana mpango na wewe yupo nawe kwa sababu ya shida zake tu. Mwanamke akikupenda ukinuna anakosa amani bila hata kujua kosa anaomba msamaha, ukiona unaleta hoja za msingi anakasirika kaa chonjo.Kinachonifanya nisimwambie ukweli huyu binti ni mtu mwenye kariba ya kupaniki na kununa hasa ukimwambia kitu cha kweli kinachokukwaza.
Ndo mafisi wenyewe au sio 😀Tupe namba yake sie tunapenda hayo matusi
Ni zombi hilo 😀 ila ni kawaida hawa wenzetu wakikolezwa wanakuwa kama sio wao nakumbuka nilikuwa nae wa hvyo nikimpiga vizr anaongea mambo ya ajabu had najiuliza vp, kuna siku tulikwazana bas nkaona nimwambie niende zangu nae ajue njia yake akabembeleza pale na vilio vyake alafu badae kwenye mechi naskia anasema xa ulitaka uondoke huku ningefkaga tena lin? mhmhmhmhmDuh! umenikumbusha mchepuko wangu nae ana tabia zenye kufanana! kila nnapozagamua natukaniwa mama yangu, napigwa makofi ya mbavuni na kuna muda anataka kuning'ata ila namdhibiti kwa nguvu! Duh wanaume Mateso.
We kweli pimbimkuu mimi nikisikia binti au mwanamke anatukana napata shida sana kumwelewa namtazama tofauti sana napata shida naye
Nobody's perfect hata na wewe una mapungufu yako anayoyamezea, aso na hili ana lile, ongea naye labda ktk malezi kuna vitu alimiss au umelelewa kinamna gani au makuzi yake, unaeza mbadili akawa vile unataka japo sio kwa 100% ila kiasi flani utaenjoy na anaeza kuwa mke na mama mzuri kabisahuyu mwanamke ana matatizo ila changamoto nikimwambia tu ntakosa utelezi na hapa mjini mimi mgeni bado siwezi kuparamia kila mwanamke
doh pole sana mkuu. uyo hakufai nipasie mimi.Baada ya kuhamishiwa mkoani dar kikazi siku moja nikiwa kwenye gari yangu nikavutiwa na binti mmoja kituoni alipokuwa amesimama nikampa lift kuanzia hapo tukazoeana na mwisho akapajua home napokaa.
Sasa nipo naye hapa napokaa wiki inaenda ya tano hivi yaani ni pika pakua but anafanya kazi huko town ila katika kukaa naye nimegundua tabia moja inanikera mno yaani tukiwa tunafanya mapenzi akiwa ameshakolea na kukaribia kufika kileleni anatukana matusi mengi kweli na kunipiga makofi na vurugu zinakuwa nyingi sasa tukimaliza tendo akili yangu inakuwa inakumbuka yale matusi yake yananifanya nikose pozi la kumwambia ukweli kuwa sipendi hii tabia.
Kinachonifanya nisimwambie ukweli huyu binti ni mtu mwenye kariba ya kupaniki na kununa hasa ukimwambia kitu cha kweli kinachokukwaza.
Wakurungwa nimfanyeje huyu binti ana miaka 25 ni pisi kali kweli kweli ila nashindwa kumwelewa akiwa kawaida sijawahi kumsikia akitukana hata kama tunagombana ila likishafika suala la kufanya mapenzi utamu ukimkolea na kama anafika kileleni basi matusi yaanaanza kama mvua ya mawe mpaka afike ndio anakuwa sawa anaacha kutukana.
Je hili ni tatizo la kawaida au ni mapepo aliyonayo? nimfurushe
#KAPICHA UZI UNOGEukimwona hutaamini mkuu inashangaza sana
[emoji419][emoji419][emoji419]Hakuna tatizo hapo au wewe ni muumini wa sex ya kibubububu??
Kila mtu ana style yake ya kufurahia sex hasa anapokaribia kileleni...wengine hutukana matusi ya nguoni, wengine wanakupiga, wengine wanalia.......
Utashangaa ukimkanya akashindwa kufika kileleni[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na usimkumguse wakati huo utamkata stimu na atasepa jumla.