Nimfuate vigezo gani ili niwe mfanya biashara mkubwa Afrika?

Nimfuate vigezo gani ili niwe mfanya biashara mkubwa Afrika?

Charlez kanumba

Senior Member
Joined
Nov 2, 2024
Posts
187
Reaction score
501
Nini nifanye niwe mfanya biashara mkubwa kama moo dewji, Bakhressa n.k, niwe na kiwanda kinachozalisha products zangu zenye brand yangu barani Afrika ambazo zitafanya vizuri sokoni, at the end niwe tajiri kupitia biashara?
 
Nini nifanye niwe mfanya biashara mkubwa kama moo dewji, Bakhressa n.k, niwe na kiwanda kinachozalisha products zangu zenye brand yangu barani Afrika ambazo zitafanya vizuri sokoni, at the end niwe tajiri kupitia biashara?
Fungua kanisa kisha sema unafufua waliokufa utamiliki gari ya million 500 ndani ya miezi 6
 
Nini nifanye niwe mfanya biashara mkubwa kama moo dewji, Bakhressa n.k, niwe na kiwanda kinachozalisha products zangu zenye brand yangu barani Afrika ambazo zitafanya vizuri sokoni, at the end niwe tajiri kupitia biashara?
Nitakupa jibu mwezi wa nne nipo field
 
...Utakuwa Tajiri tu , iko hivi kila Jambo duniani Lina sababu zake na hatua (stage) ukiona mtu Tajiri Leo ujue sio bahati mbaya kawa Tajiri.

Utajiri Ni baraka, Utajiri Ni nguvu, Utajiri Ni zawadi he ili upate baraka au zawadi si lazima ufanye Jambo sivyo?
Hao bakhersa , Mo , Ni stage ya juu ya kiutajiri ambayo mwanadamu wa kawaida ili awe nayo lazima apate Vitu Fulani kutoka mamlaka kubwa Sana.

Utajiri umegawanyika sehemu tatu ,
1. Ngazi ya chini-kimtaa mtaa ,

2. ngazi ya Kati kiwilaya,kimkoa,

3.ngazi ya juu kitaifa na kimataifa(kidunia)

Sasa ili uweze kuwa Tajiri lazima upate akili(ufahamu) wa Nini ufanye ili ufanikiwe kwasabba ubongo wa mwanadamu una kikomo wa ujuzi wa Mambo, hivyo upate mwongozo kutoka mamlaka husika. Yaani utajiri ambao ungeupata kwa miaka 15 mbele unaupata within a year . Ufanye Nini Hilo Ni fumbo

Tukirudi kwenye swala lako, wewe mwenyewe ndani unajionaje?😁😁 Unajiona Tajiri kiasi gani, utajiri utalingana na fikra zako . Yote kwa yote ridhika zako ziko mamlaka ya juu , ulikoumbwa, mrejee Mungu wako mwambie akupe nguvu ya Utajiri Kama ikimpendeza. Maana Mungu habagui anawapa Hadi ngedere ridhiki kila la kheri.
 
Hongera sana kwa wazo zuri.Sisi wakati tunakia tuliambiwa elimu ni ufunguo wa maisha cha achabu wote tuliosoma nao hakuna tajiri anaetabulika. Baada ya kufunguka wengi wamekimbilia siasa na kusaka vyeo ambavyo haviwapi utajiri zaidi ya kuiba pesa na kushindwa kuzifanya utajiri.
Wengi wanaishia kujenga majumba na kununua magari ya kifahari kutamba mjini.
Wakitolewa kwenye vyro hali inarudi kuwa ngumu.
 
Back
Top Bottom