Sawa mkuuUmemkuta anapendeza, ko kuna mtu anahudumia as of now. Anachomanisha n kwamba ukiwa na pesa unamkula,na tabia n kama ngozi,uyo ata kwenye ndoa atakuletea shida siku ukiyumba kiuchumi.
Hakuna wife material hapo,toa hela piga usepe mapema
Mkuu niposema mtoto wa kigogo sikumaanisha aa kishua. Nimaanisha kabila. Ushauri nimeupokeaJaribu kutofautisha wadhifa/nafasi ya baba yake na yake yeye mwenyewe.
Pia sio kila mtoto wa kigogo ni mambo safi. Kuna vigogo wengine wanawalea watoto wao kidhiki hasa.
That being said, kwa mujibu wa hizo msg alizokutumia ni kwamba umekutana na kudangaji kizoefu.
Kitakupurusua mpaka upasue korodani kwa matumaini ya kukuta madini uuze ili umuhudumie zaidi.
Slay queen kaa mbali.Wakuu habari.
Kuna ka binti ka kigogo ninekatoke juzi kati. Kakaniambia nikape wiki katanijibu. Nilivyokua nakachulia ni kama ka wife material hivi. In short niko kwenye kutafuta chaka langu la milele.
Sasa bwana nimesubiri hio wiki huku nikijitahidi kuwa romantic kwake kuongeza ushawishi. Sasa jana ndio iliku siku ya kupata majibu yangu. Nikakapigia sim hakakupokea, baadae kakanitext "nitumie sms". Mmh, tukaanza kuchati. Basi wakurungungwa nilitumiwa hizi sms mbili hapa chini.
Jaman masponsor mnatuharibia wake zetu watarajiwa. Sasa iv wanawaza kuhudumiwa tu na sio kujenga familia. Kama mnawahudumia hakikisheni mnawaoa kabisa.
Wanaume wenzangu hali ikoje huko, mmewahi kutana na hii? Yaani sharti la kukubaliwa anakuchana live umhudumie? Kwa uzoefu wangu, hata wale wa mizinga huwa hawatuambii live hivi. Utaona vizinga tu. Na nilichotegemea kwake kama angekua bint mwenye akili basi angenipa shart la kwenda kwao tufuate taratibu. Ningerukaruka kinoma ningemuona anaakili. Ila kwa hili natafuta chaka lingine hadi nikutane na mke wangu. Mm siko kwenye kampeni ya kupinga ndoa. Hawa wapinga ndoa ndio wanatuongezea single mother huku mtaani.
Sasa wakuu sijakajibu hadi sasa. Vip jamani nijilipue? Au itakula kwangu?View attachment 2547146
wengine hatuwezi mrembo lazima tuwaweke ndani tujilie bila mawazo.Daaaah hivi kwann wanaume msiwe kama mr π° π€π€π€π€ wa tandale
Ok. Basi umekutana na omba omba by tribeπ€£Mkuu niposema mtoto wa kigogo sikumaanisha aa kishua. Nimaanisha kabila. Ushauri nimeupokea
Ntafuta mke mumy, natega kote anaezingua anakaa pembeni. Yule nmeweka kando. Leo nikikutana na mwingine njiani napak kushoto, nampa lifti nachukua namba, natekenya akitekenyeka naanza kumpima. Akizingua naweka pembeniYule wa juzi ushamwacha?
Utafika umemchoka wangu....tulia utampata Kwa wakatiNtafuta mke mumy, natega kote anaezingua anakaa pembeni. Yule nmeweka kando. Leo nikikutana na mwingine njiani napak kushoto, nampa lifti nachukua namba, natekenya akitekenyeka naanza kumpima. Akizingua naweka pembeni
Zipo pisi za kishua ila wachunaji kichizi ,hadi Ela ya vocha anakuombaKwa mujibu wa hizo msg alizokutumia ni kwamba umekutana na kidangaji kizoefu.
Kitakupurusua mpaka upasue korodani kwa matumaini ya kukuta madini uuze ili umuhudumie zaidi.
Sawa mkuu,Kila lenye kheriNikichoka sitampata, jawezi kuja mwenyewe. Inabidi nimtafute. Inshallah atapatikana