Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ila mchukulie tu kufuli mkuu😅Aje apendekeza zawadi
Ebu fafanua zaidi mkuuKabla hujakutana nae .. jitaid unaiga mbinu za Michael Scofield ili lolote likitokea uwe na pakuanzia mkuu
Wazo zuri, nitamchukulia za rangi moja tuIla mchukulie tu kufuli mkuu😅
Tatizo imani hainiruhusu kuoa mke zaidi ya mmojaUnamdanganya na sisi unatudanganya.
Kama angekuwa mzuri kama unavyodai kinachokufanya usimuoe ni nini?
Ila inakuruhusu kuwa na mchepuko una mharibia Maisha Msichana wa watu na hapo hatokaa apate wa kumuoa maisha yake yoote maana vija a tumeshauriana hakuna kuoa single maza bidhaa chakavu.Tatizo imani hainiruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja
Subiri Thread nyingine itakuja tu.umejuaje kuwa huyo ni mtoto wako OG? Umepima DNA?
Umekaa miezi saba hujawahi kumuona toka ajifungue wala hujawahi kuona sura ya mtoto, punguza kiranga..
Umemzalisha mtoto wa watu amekuwa Single maza. Umempa ticket ya kutoolewa tenaKuzaa na pisi kali (mchepuko) raha sana, hasa hawa wenye shepu za kinyarwanda, na wameenda hewani, nikisimama naye mi namfikia kwenye bega tu.
Ni miezi saba sasa imepita, tangu ajifungue mtoto wangu; sasa kesho nimepanga nimuibukie huko mkoani, bahati nzuri tumeshafanya mawasiliano, imebakia tu kukutana pamoja na kumuona mtoto wangu (dume la mbegu).
Hapa nilipo natamani pakuche haraka sana, naona masaa hayaendi kabisa, najua chaga zinaenda kuumia hiyo kesho.
Sasa wakuu, mnapendekeza nimpelekee zawadi gani?
umejuaje kuwa huyo ni mtoto wako OG? Umepima DNA?
Umekaa miezi saba hujawahi kumuona toka ajifungue wala hujawahi kuona sura ya mtoto, punguza kiranga..
Ila kuzaa na pisi kali raha sana, unakuwa unapasha pasha kiporo kiainaIla inakuruhusu kuwa na mchepuko una mharibia Maisha Msichana wa watu na hapo hatokaa apate wa kumuoa maisha yake yoote maana vija a tumeshauriana hakuna kuoa single maza bidhaa chakavu.
Njoo unizalie mapacha basiiiWe jamaa ungekua ni jukwaa humu jf, basi ungekua ni habari na hoja mchanganyiko.....