Nimpelekee zawadi gani, mzazi mwenzangu?

Nimpelekee zawadi gani, mzazi mwenzangu?

Kuzaa na pisi kali (mchepuko) raha sana, hasa hawa wenye shepu za kinyarwanda, na wameenda hewani, nikisimama naye mi namfikia kwenye bega tu.

Ni miezi saba sasa imepita, tangu ajifungue mtoto wangu; sasa kesho nimepanga nimuibukie huko mkoani, bahati nzuri tumeshafanya mawasiliano, imebakia tu kukutana pamoja na kumuona mtoto wangu (dume la mbegu).

Hapa nilipo natamani pakuche haraka sana, naona masaa hayaendi kabisa, najua chaga zinaenda kuumia hiyo kesho.

Sasa wakuu, mnapendekeza nimpelekee zawadi gani?​
Yani wewe 😅😅😅 mpelekee Gari la kuendea clinic
 
Kuzaa na pisi kali (mchepuko) raha sana, hasa hawa wenye shepu za kinyarwanda, na wameenda hewani, nikisimama naye mi namfikia kwenye bega tu.

Ni miezi saba sasa imepita, tangu ajifungue mtoto wangu; sasa kesho nimepanga nimuibukie huko mkoani, bahati nzuri tumeshafanya mawasiliano, imebakia tu kukutana pamoja na kumuona mtoto wangu (dume la mbegu).

Hapa nilipo natamani pakuche haraka sana, naona masaa hayaendi kabisa, najua chaga zinaenda kuumia hiyo kesho.

Sasa wakuu, mnapendekeza nimpelekee zawadi gani?​
Vitenge tu mzee wangu
 
1. Kitendo cha kukuzidi urefu tayari hii ni kipengele. Jiandae nacho, wanawake wakishazaa wananawiri.... akinawiri kuna wataomtamani.... sijui ufanyaje hapo ila yafaa saa ya kula denda mwanamke uning'inie kufata midomo ya mwanaume sio wewe ndo uning'inie kwenye shingo ya mwanaume.... Ila pia unaweza ipotezea hii.

2. Peleka vifaa baadhi vya mtoto maana watoto huwa wanakua haraka sana, utakuta vishati vimeshambana na baby shoo zimechakaa.

3. Tafuta kitu kimoja kati ya vitu anapenda huyo mdemu wako umpelekee kimoja, atakupokea kwa bashasha sana. Mimi na wengine humu hatujui nini anapendelea...
Mfqno kama anapendq sana kushinda mitandaoni, kamfungie wifi hapo nyumbani kwake ili atulie nyumbani alee mtoto vizuri.

Malezi ya mtoto ni ya baba na mama, single parenting si rahisi kama vile inavyoimbwa humu mitandaoni. Kila leo tunaona na kushuhudia changamoto zake.

4. Beba vipimo vya kujua afya zenu kabla hamjarukiana kujamiiana. Utaepusha mengi kama mmoja wenu ana magonjwa ambukizi mtibiane kwanza ndo mrukiane, yaweza kuta pia ana mimba ya mwezi au wiki 2, ukiingia kichwa kichwa hapo utajaela mtoto asiye haramu halafu miaka kadhaa mbele uje kusababisha masaka baqda ya kuujua ukweli.

Alamsiki.

Bi. Kasinde.
Nimeondoka na madini mawili matatu; bibie ananiambia sasa nipunguze starehe nilee mtoto
 
We mshikaji story zako za kubuni sana aisee tena za uongo uongo aisee
Nyie mnaishi dunia ya wapi haya mambo yasiwatokee 😀 😀 , kesho chaga zinaenda kuumia
 
Back
Top Bottom