Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #21
Itamharibu muonekano kwa kutunisha mikonoMnunulie wheelbarrow
ππ Hampendi nizae na pisi kaliFaza wa Kambo ana shobo huyo.
Wanasema mkulima huwa anatafuta mbegu nzuri ili mazao yake yatoke vizuri; na wao wanakuja kwangu wakitaka mbegu ili wapate uzao mzuri πUmemzalisha mtoto wa watu amekuwa Single maza. Umempa ticket ya kutoolewa tena
Kipimo hiki unachowafanyia mabinti za watu subiri ukizeeka mabinti zako watakulipa uone kama unafurahisha.
Piss kali wapi Kamanda...Huyo ni Paskali.ππ Hampendi nizae na pisi kali
SawaWanasema mkulima huwa anatafuta mbegu nzuri ili mazao yake yatoke vizuri; na wao wanakuja kwangu wakitaka mbegu ili wapate uzao mzuri π
Mbona unamkatisha tamaa mwenzioNi mara π― umwamini kichaa na sio kumuamwamini mwanake
Sitosahau Demu alinilete mimba ya miezi mitatu akidai ni yangu.Ni mara π― umwamini kichaa na sio kumuamwamini mwanake
Ana muonekano huu.....Piss kali wapi Kamanda...Huyo ni Paskali.
Inabidi kuishi nao kwa akiliNi mara π― umwamini kichaa na sio kumuamwamini mwanake
Familia kubwa inanitegemea mkuu π πSubaru forester XT eye sight
Tangu lini jogoo, akaachia mtetea?Nipe namba yake basinimuoe mimi ili nikitunzoe mwanao
Weka ndani huyoSitosahau Demu alinilete mimba ya miezi mitatu akidai ni yangu.
Usiku ule sikulala usiku kucha nina mawazo.
Dah.
Asubuhi nikamchana live. Nikamhesabia mara ya mwishi kukutana naye kalenda zinagoma.
Baadae alikubali akaondoka. Akazaa.
Baada ya miaka 5 alinitafuta hadi jana nimemchakata sana anasema ananipenda nimuoe π π π
Kama huyo Mtoto ni wakwako niite....Kuzaa na pisi kali (mchepuko) raha sana, hasa hawa wenye shepu za kinyarwanda, na wameenda hewani, nikisimama naye mi namfikia kwenye bega tu.
Ni miezi saba sasa imepita, tangu ajifungue mtoto wangu; sasa kesho nimepanga nimuibukie huko mkoani, bahati nzuri tumeshafanya mawasiliano, imebakia tu kukutana pamoja na kumuona mtoto wangu (dume la mbegu).
Hapa nilipo natamani pakuche haraka sana, naona masaa hayaendi kabisa, najua chaga zinaenda kuumia hiyo kesho.
Sasa wakuu, mnapendekeza nimpelekee zawadi gani?
We mshikaji story zako za kubuni sana aisee tena za uongo uongo aiseeKuzaa na pisi kali (mchepuko) raha sana, hasa hawa wenye shepu za kinyarwanda, na wameenda hewani, nikisimama naye mi namfikia kwenye bega tu.
Ni miezi saba sasa imepita, tangu ajifungue mtoto wangu; sasa kesho nimepanga nimuibukie huko mkoani, bahati nzuri tumeshafanya mawasiliano, imebakia tu kukutana pamoja na kumuona mtoto wangu (dume la mbegu).
Hapa nilipo natamani pakuche haraka sana, naona masaa hayaendi kabisa, najua chaga zinaenda kuumia hiyo kesho.
Sasa wakuu, mnapendekeza nimpelekee zawadi gani?