Nimpelekee zawadi gani, mzazi mwenzangu?

Umemzalisha mtoto wa watu amekuwa Single maza. Umempa ticket ya kutoolewa tena

Kipimo hiki unachowafanyia mabinti za watu subiri ukizeeka mabinti zako watakulipa uone kama unafurahisha.
Wanasema mkulima huwa anatafuta mbegu nzuri ili mazao yake yatoke vizuri; na wao wanakuja kwangu wakitaka mbegu ili wapate uzao mzuri πŸ˜€
 
Ni mara πŸ’― umwamini kichaa na sio kumuamwamini mwanake
Sitosahau Demu alinilete mimba ya miezi mitatu akidai ni yangu.

Usiku ule sikulala usiku kucha nina mawazo.

Dah.

Asubuhi nikamchana live. Nikamhesabia mara ya mwishi kukutana naye kalenda zinagoma.

Baadae alikubali akaondoka. Akazaa.

Baada ya miaka 5 alinitafuta hadi jana nimemchakata sana anasema ananipenda nimuoe πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Weka ndani huyo
 
Kama huyo Mtoto ni wakwako niite....
 
1. Kitendo cha kukuzidi urefu tayari hii ni kipengele. Jiandae nacho, wanawake wakishazaa wananawiri.... akinawiri kuna wataomtamani.... sijui ufanyaje hapo ila yafaa saa ya kula denda mwanamke uning'inie kufata midomo ya mwanaume sio wewe ndo uning'inie kwenye shingo ya mwanaume.... Ila pia unaweza ipotezea hii.

2. Peleka vifaa baadhi vya mtoto maana watoto huwa wanakua haraka sana, utakuta vishati vimeshambana na baby shoo zimechakaa.

3. Tafuta kitu kimoja kati ya vitu anapenda huyo mdemu wako umpelekee kimoja, atakupokea kwa bashasha sana. Mimi na wengine humu hatujui nini anapendelea...
Mfqno kama anapendq sana kushinda mitandaoni, kamfungie wifi hapo nyumbani kwake ili atulie nyumbani alee mtoto vizuri.

Malezi ya mtoto ni ya baba na mama, single parenting si rahisi kama vile inavyoimbwa humu mitandaoni. Kila leo tunaona na kushuhudia changamoto zake.

4. Beba vipimo vya kujua afya zenu kabla hamjarukiana kujamiiana. Utaepusha mengi kama mmoja wenu ana magonjwa ambukizi mtibiane kwanza ndo mrukiane, yaweza kuta pia ana mimba ya mwezi au wiki 2, ukiingia kichwa kichwa hapo utajaela mtoto asiye haramu halafu miaka kadhaa mbele uje kusababisha masaka baqda ya kuujua ukweli.

Alamsiki.

Bi. Kasinde.
 
We mshikaji story zako za kubuni sana aisee tena za uongo uongo aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…